CYBERTEQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 7,341
- 4,067
Unachekesha kweli wewe!
Eti mwanadamu awe na maarifa Zaidi ya Mungu!
Eti unatoa na mifano Kama hiyo?!
Hebu toa ya kwako tuone! Sioni kabisa nafasi ya mungu katika maisha ya kila siku, ni sawa na kuweka chakula mezani halafu mnaanza kutoa shukrani kwa Mungu, mnasahau kuwa hustle zenu ndiyo zinaleta ubwabwa huo, ukiwa kwangu mke wangu aweke ugali mezani uanze kushukuru mungu mbona itabidi usiumege hata huo ugali, mshukuru mke wangu kwa kupika!