Unachekesha kweli wewe!
Eti mwanadamu awe na maarifa Zaidi ya Mungu!
Eti unatoa na mifano Kama hiyo?!
Hebu toa ya kwako tuone! Sioni kabisa nafasi ya mungu katika maisha ya kila siku, ni sawa na kuweka chakula mezani halafu mnaanza kutoa shukrani kwa Mungu, mnasahau kuwa hustle zenu ndiyo zinaleta ubwabwa huo, ukiwa kwangu mke wangu aweke ugali mezani uanze kushukuru mungu mbona itabidi usiumege hata huo ugali, mshukuru mke wangu kwa kupika!
Unaona unavozidi kuvuruga!?
Majibu gani unayota kupewa?
Umeshanibiwa sana kwenye mada yako Na Pia kwenye hoja ya msingi ya mada hii Kama umesoma vizuri kuna majibu yote ya maswali yako!
Jibu la maswali yako ni kwamba wewe unatetea Imani yako tu na hautaki kwenda kinyume na Na msingi wa Imani yenu kwa Hakuna Mungu!
Hilo swali mbona ameshaliuliza na akapewa majibu kwenye ile thread nyingine, wewe nadhani umedandia tu, kachungulie kule usome kwanza ndiyo uje huku, wenzio wamekimbia uzi kule walivyoona reasoning kwao imeshindikana!
Kwa hakika maarifa ya mwanadamu ni makubwa kuliko ya "Mungu", leo ukiambiwa uishi kwa kumtegemea mungu pekee ni kitu kischowezekana, lakini leo wewe unapost hapa jf kwa sababu watu wanaokuzunguka wako makini, kuanzia mkeo anayekupikia, dereva anayekupeleka kazini, na daktari anayekutibu ukiugua!
busara ya kawaida hata kama sio wewe uliyejibu,badala ya kuandika sentensi yote hiyo, ungenonyesha hilo jibu, huo ni ubabaishaji,huwezi kuwa swali hilo limejibiwa kwenye uzi fulani, wewe toa jibu,yawezakuwa hata unayoyauliza wewe kuna wakati yameweza jibiwa,kwa kuwa wewe sie wa kwanza kumchukia Mungu,Mungu amekuwa anachukiwa tangu enzi,na maswali unayouliza wewe si mapya sawa na ninayo kuuliza mimi na wengine,hakuna aliyevumbua swali jipya,sana sana tunaongezea maelezo kwa kuwa tunajua kuna vichwa ambao wao kuelewa ni kichina zao kunukuu kama ndege kasuku.
Toa jibu la hilo swali, nimepitia uzi nyingi nimeona kama sio H1N1 ni Eiyer ama Jingalafalsafa wameuliza kuhusu akili na kuomba ushahidi,ninacho kiona ni maelezo ya swali limejibiwa bila kuonyesha jibu lilipo.
kukata mzizi wa fitna jibu sasa na uoneshe ushahidi wa wazi kwamba wewe na wachukia mungu wenzako mnazo AKILI na Muweke ushahidi niusome kwenye uzi huu. Stop bla bla
busara ya kawaida hata kama sio wewe uliyejibu,badala ya kuandika sentensi yote hiyo, ungenonyesha hilo jibu, huo ni ubabaishaji,huwezi kuwa swali hilo limejibiwa kwenye uzi fulani, wewe toa jibu,yawezakuwa hata unayoyauliza wewe kuna wakati yameweza jibiwa,kwa kuwa wewe sie wa kwanza kumchukia Mungu,Mungu amekuwa anachukiwa tangu enzi,na maswali unayouliza wewe si mapya sawa na ninayo kuuliza mimi na wengine,hakuna aliyevumbua swali jipya,sana sana tunaongezea maelezo kwa kuwa tunajua kuna vichwa ambao wao kuelewa ni kichina zao kunukuu kama ndege kasuku.
Toa jibu la hilo swali, nimepitia uzi nyingi nimeona kama sio H1N1 ni Eiyer ama Jingalafalsafa wameuliza kuhusu akili na kuomba ushahidi,ninacho kiona ni maelezo ya swali limejibiwa bila kuonyesha jibu lilipo.
kukata mzizi wa fitna jibu sasa na uoneshe ushahidi wa wazi kwamba wewe na wachukia mungu wenzako mnazo AKILI na Muweke ushahidi niusome kwenye uzi huu. Stop bla bla
Waoh nimejifunza kitu leo, nashukuru Stefano Mtangoo
For the wrath of God is revealed from heaven against all ungodliness and unrighteousness of men, who hold the truth in unrighteousness; Because that which may be known of God is manifest in them; for God hath shewed it unto them. For the invisible things of him from the creation of the world are clearly seen, being understood by the things that are made, even his eternal power and Godhead; so that they are without excuse:
Because that, when they knew God, they glorified him not as God, neither were thankful; but became vain in their imaginations, and their foolish heart was darkened. Professing themselves to be wise, they became fools....Who changed the truth of God into a lie, and worshipped and served the creature more than the Creator, who is blessed for ever. Amen... And even as they did not like to retain God in their knowledge, God gave them over to a reprobate mind, to do those things which are not convenient...haters of God (Romans 1)