Muogopeni Rostam Aziz kama Corona. Spin Doctors kazini 100%

Kwahiyo hitimisho ni kwamba Rostam na Slaa are in cahoots to deceive the masses about DP World? Wewe umelewa au huna akili?
 
Umeandika hisia tu hakuna fact. Na kwa Ujinga wako umemleta Mtikila ambaye sisi wakongwe tunamfahamu kwa ukaribu sana. Unaandika andika vitu vya kufikirika halafu unataka tu ku treat kama mtu mwenye akili.
Kwani ww sio mtanzania,hapa tunajadili masilahi ya taifa na wanao kwamisha taifa kusonga Mbele,Twambie ninkweli RA ni mtu kati kati ya SSH Na JK?
 
Umenena!
 
TULETEENI RAHA
 
Samia atakuwaje historia wakati na yy, ni mrembuaji tu πŸ˜…πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…