Muonekano mpya wa Chidi Benz baada ya kutumia unga

Muonekano mpya wa Chidi Benz baada ya kutumia unga

I cant believe kwa ninachokiona...Unga/poda hatari aseee...Jamaa ameisha mbaya...asiseme stress aseme tu madawa yamemuathiri...mmh yan nkimuona siwezi kuamin alikuwa mwili jumba sasa hivi kawa mwembamba balaa
 
Ameshindwaje kujisaidia, kama anataka tumsaidie ku perform jukwaani si bora tuingie kazini wenyewe, kama ni msaada awe specific, akiri kutumia madawa ya kulevya, afikishwe mahakamani, akiri kosa, ahukumiwe kwa mujibu wa sheria atumikie adhabu yake ndio aombe msaada asaidiwe kurekebisha mwenendo wa maisha.

Mungu muweza aepushe balaa hili kwetu na watoto wetu.
 







Dah pole sana Chid Benzinooooo,dogo alikua anakamua pumzi kibao halafu hilo sauti anayo.
Aliyemfundisha hayo madude alaaniwe kwakweli maana nimepiga nyimbo zake hapa kuna mshkaji imebidi aulize huyo jamaa anaimba mswahili?

nikamwonyesha hiyo picha ya sasa na before jamaa kataka kulia
 
Akiongea kwa uchungu kwenye kipindi cha Da Weekend Chat Show cha Clouds TV jana, Chidi ambaye mwili wake umepungua kwa kiasi kikubwa, amesema bado uwezo kimuziki anao lakini wale aliowaita wadau walioushikilia muziki wamemtupa.

Amesema wakati wa kilele chake, alikuwa akifanya show kila siku katika wiki, lakini kwa sasa mambo yamebadilika kabisa.


“Matatizo yangu na stress zangu ambazo niko nazo zinanisababishia mwili wangu unapungua kwasababu siko okay, siko poa, siko sawa yaani,” alisema.

Katika hatua nyingine Chidi alisema pamoja na afya yake kuzorota, hivi karibuni alipiga show kwa masaa mawili hadi mama yake akalia.

“Mama yangu akaniambia mwanangu unafanya show two hours, show kali watu wanapenda unachokifanya lakini sioni mwamko wa watu kutokea kukusaidia, kwahiyo tufanye mpango watu wakusaidie’ na mimi namuambia nataka watu wanisaidie, natamani kusaidiwa, natamani kupata mafanikio anayopata Diamond,” alisisitiza.😀
haya sasa FISIEM mkumbukeni msanii wenu maana mwanzo nilimkubal saaana ila kipind cha kampeni alitoa nyimbo ambayo alimtukana sana LOWASA tena matus ya nguoni na akatutus na UKAWA KIUKWELI NILICHUKIA SANA TOKA SIKU HYO HAD LEO SIMFAGILII TENA NAFKIR KIAS FULAN ILE LAANA ALIYOJIPALIA YA KUMTUKANA KIONGOZ WANGU NAYO IMECHANGIA
 
Msaada mtu akiomba basi kama unaweza kumpa msaada eitha wa hali au wa mali au vyote kwa pamoja itapendeza
 
Akiongea kwa uchungu kwenye kipindi cha Da Weekend Chat Show cha Clouds TV jana, Chidi ambaye mwili wake umepungua kwa kiasi kikubwa, amesema bado uwezo kimuziki anao lakini wale aliowaita wadau walioushikilia muziki wamemtupa.

Amesema wakati wa kilele chake, alikuwa akifanya show kila siku katika wiki, lakini kwa sasa mambo yamebadilika kabisa.


“Matatizo yangu na stress zangu ambazo niko nazo zinanisababishia mwili wangu unapungua kwasababu siko okay, siko poa, siko sawa yaani,” alisema.

Katika hatua nyingine Chidi alisema pamoja na afya yake kuzorota, hivi karibuni alipiga show kwa masaa mawili hadi mama yake akalia.

“Mama yangu akaniambia mwanangu unafanya show two hours, show kali watu wanapenda unachokifanya lakini sioni mwamko wa watu kutokea kukusaidia, kwahiyo tufanye mpango watu wakusaidie’ na mimi namuambia nataka watu wanisaidie, natamani kusaidiwa, natamani kupata mafanikio anayopata Diamond,” alisisitiza.😀
Yesu bora urudi Tu Mara ya pili, dunia inataka kudondoka
 
Mwisho wa siku tumekaa kibarazani tunapiga umbea sijaona hata mmoja kaja na ushauri wa maana kuhusu huyu kijana...na hao walomuibua huko alikokuwa ni ushambenga tu na kumchoresha binaadamu mwenzao mwenye kuhitaji msaada
 
Aiseee... Ndo maana kavaa tishet bwangaa...na hyo miwani nyeusi vipi huko usoni
 
Khaaa asaidiwe nin huyi c bwana mangum...wasanii wakiwa na hela hawashkiki wala kuambiwa jeuri dharau...aende kwa mateja wenzie
 
Huo ni msaada pia wa kumrudia muumba wako, huwa tunajisahau sana na kuanza kujivuna
 
Tatizo uwa hawataki kusema ukweli ukiwaambia wanatumia wanakataa.angalia kama ngwear alikufa kwa madawa lakini kuna wajinga walipinga kwa nguvu zoote.kumbe hawajuii kama wanaipotosha jamii
 
Ndio huyu alisema Lowasa Mgonjwa! Akatoa na nyimbo za kututukana Ukawa!! Leo kabak hv!? My take siasa zisivuruge undugu wetu kuna leo na kesho
 
Akiongea kwa uchungu kwenye kipindi cha Da Weekend Chat Show cha Clouds TV jana, Chidi ambaye mwili wake umepungua kwa kiasi kikubwa, amesema bado uwezo kimuziki anao lakini wale aliowaita wadau walioushikilia muziki wamemtupa.

Amesema wakati wa kilele chake, alikuwa akifanya show kila siku katika wiki, lakini kwa sasa mambo yamebadilika kabisa.


“Matatizo yangu na stress zangu ambazo niko nazo zinanisababishia mwili wangu unapungua kwasababu siko okay, siko poa, siko sawa yaani,” alisema.

Katika hatua nyingine Chidi alisema pamoja na afya yake kuzorota, hivi karibuni alipiga show kwa masaa mawili hadi mama yake akalia.

“Mama yangu akaniambia mwanangu unafanya show two hours, show kali watu wanapenda unachokifanya lakini sioni mwamko wa watu kutokea kukusaidia, kwahiyo tufanye mpango watu wakusaidie’ na mimi namuambia nataka watu wanisaidie, natamani kusaidiwa, natamani kupata mafanikio anayopata Diamond,” alisisitiza.😀
Binafsi sijajua msaada gani anahitaji?kwani anaumwa?mwache apotelee mbali.
 
Dah! Siku za Dar es salaam stand up haziwezi kurudi tena, huwa kuna nafasi moja Tu huwa inatokea, Chid yule anafanya show moja ya Kilimanjaro award then T.I Kama msanii mkubwa toka Marekani anaalikwa kwenye utoaji tuzo ule, wakati unafanya show ya nguvu kwa ngoma zako kali Naitwa nani! Babe ft Ray C, T.I ananukuliwa akiwauliza wenyeji wake alokaa nao.... "Huyu Ni nani?"...anaambiwa huyo Ni mwana Hip Hop anayekimbiza bongo, Na baadaye unashinda tuzo, T.I mwenyewe anakupatia tuzo, Na uhakika uliambiwa jinsi T.I alivyouliza kuhusu wewe, Leo kina Diamond wakipata nafasi Kama hizo wanazitumia hapo hapo, Ni vipi ungefanya ngoma Na T.I wakati ule, bila shaka ungekua mbali, all in all madawa yamekupoteza, sidhani Kama utapata msaada kwenye muziki wako tena, Sana Sana makosa yako wacha yatumike Kama funzo kwa vijana wengine, Na wenyewe wasipojifunza kwako! Wacha yawakute Tu, hatuna namna....sorry Chid Benz, fulsa huwa Ni Mara moja Tu!

Mkuu umesahau
mtu si mbwa.
 
Back
Top Bottom