Muonekano mpya wa Luiza Mbutu baada ya kuacha kutumia mkorogo

Muonekano mpya wa Luiza Mbutu baada ya kuacha kutumia mkorogo

Jamani Luiza angebaki tuu na rangi yake ona sasa ndo bqsi tena anazeeka anatisha
 
do! aliimba kwaya siku ya harusi yangu
 
Kweli kila jambo na wakati wake, umri umekwenda sasa ameamua kupunguza mambo mengi.

View attachment 2279382
Huyo Brazaman wa Kikongo hapo pembeni (kama sikosei ni Nyoshi El-Sadat huyo) na yeye ajiandae... mwenzie Jenerali Def Defao Matumona aliishia namna hii kwa mkorogo:

1657352395033.png
 
Kwann wakongo wengi wanapenda kujichubuaa? Khaaah
Mkongoman habebi zege wala halimi.

Kule jiji kuu Kinshasa walizoea kuishi kwa kula bata enzi za Mobutu. Mobutu alikuwa kama Kikwete au Mwinyi lakini aliwazidi kwa kiwango kikubwa. Kwamba aliacha uhuru uliopitiliza wa kuiba pesa za umma.

Kwa hiyo Mkongomani wa Kinshasa anaishi kwa muziki, michezo, kazi za saluni, na kazi zingine za kivulini. Mkongomani akijua una hela atakuganda na kukusifia sana.

Hapa Dar wanaume wa kikongo dili zao ni kutafuta majimama na majidada yenye hela wawapakie vumbi na kuwapagawisha na kuwatemesha pesa zao.

Kama wewe ni mrembo ukidate na Mkongomani usitegemee utakula hela yake hata siku moja. Na hata anakoishi hatakupeleka, maana wanaishi kigetto getto sana (kikambi) na mazingira machafu ila ukutani unakuta katundika pamba kali za dukani na viatu vya bei mbaya vya ngozi. Ukimkuta mtaani utamtaka.

Kwa hiyo wanajichubua ili kuficha umaskini waonekane matawi. Ngozi ikiwa nyeupe nyeupe mtu anaonekana mambo safi kana kwamba ana gari na maisha ya kiyoyozini no vumbi no juakali.
 
Hiyo ndiyo inaitwa "Mkorogo utaniuaa" 😀 😀
 
Back
Top Bottom