David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,894
- 6,020
Zumaridi sio bibi chombo cha maana, engine bado nzimaKo huyo kaka ndo anamla bibi lui? Tobaaaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zumaridi sio bibi chombo cha maana, engine bado nzimaKo huyo kaka ndo anamla bibi lui? Tobaaaah
Huyu mama humjui vizuri kwahiyo kaa kimya...Tuwe tunatumia angalau chembe ya busara. Huyu mama ni mtu mzima na huenda ana familia na watoto. Imagine wewe uingie JF ukute watu wanaandika upumbavu kama huu juu ya mama yako au mke wako. Mambo mengine huhitaji hata kutumia common sense!
mama anayejiheshimu hajichubui.Tuwe tunatumia angalau chembe ya busara. Huyu mama ni mtu mzima na huenda ana familia na watoto. Imagine wewe uingie JF ukute watu wanaandika upumbavu kama huu juu ya mama yako au mke wako. Mambo mengine huhitaji hata kutumia common sense!
kule ni sehem ya fasion kama kunyoa denge kwa wanaume bongo[emoji16][emoji16][emoji16].Nasikia congo hadi wanaume wanajipodoa?
Nawaza kama wale waasi wa Kivu Kaskazini nao huwa wanajipodoa
Hii si imejaa filter mkuuView attachment 2279474anakimbizana na ujana
Daaah kama kapigwa na atomic bomNilikuwa namtafuta sana huyu cerebrety RUIZA
Macerebrty wengine mliokuwa wazungu gafla mkumbuke hata Ruiza naye alipitamo.View attachment 2283852
hata
naye alipitamo.
karibuWewe Ni mtu wa Musoma
khaaa😂😂😂Kawa kama Nsyuka