Me too
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,388
- 9,333
kabisa mkuuTuridhike na rangi tulizojaaliwa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabisa mkuuTuridhike na rangi tulizojaaliwa....
😂😂😂 alooooh daahDaaah kama kapigwa na atomic bom
..anatisha uso kma mzee wa miaka 120
😂😂 bila hivyo mtaishia kuwaona wife enu wabayaaaWasanii wa bongo ukipata bomba la maji yenye pressure uwamwagilie kwa nguvu usoni hayo matope ya rangi yadondoke utaona sura zao halisi
tena kansa haikosamoMbona amezeeka hivi?! Kweli kujichubua mwisho wake mbaya
na nyie ndio chanzodah haya ni mambo yanayofanya Wazungu na weupe wengine wazidi kutudharau watu weusi aka black people's.
Kama wenyewe tunaidharau rangi yetu na kuamua kujikoboa tuwe weupe kwanini tusidharaulike na kubaguliwa.
Dada zetu bakini na rangi zenu za asili, mkate makucha yetu muache kubandika makucha, mtoe hayo mawigi yenu vichwani, mnyoe nywele, msuke twende kilioni, msuke rasta og nk. mkishandwa kabisa nyoeni mapanki tu.
cream ndo inafanyaga hivoSura na umri wake havina ushirikiano
I miss you mama yeyooo... daah lile jukwaa letu limetufanya tupoteane sana.Turidhike na rangi tulizojaaliwa....
yaah 😂😂😂 cream hazijaanzia kwa akina uwoya aseehapo kitambo kidogo.
ndo mnaongoza kuwatamani😂Mimi mwanamke akishajichubua tu hata awe Ni mkuu wa dunia nzima siwezi kumheshimu najua tu upstairs ana utaahira tu.
jukwaa au muonekano mpya wa jf😂😂I miss you mama yeyooo... daah lile jukwaa letu limetufanya tupoteane sana.
Nimewaza tu kama usoni na kifuani hivyo sijui akivua nguo atakuwaje....Nilikuwa namtafuta sana huyu cerebrety RUIZA
Macerebrty wengine mliokuwa wazungu gafla mkumbuke hata Ruiza naye alipitamo.View attachment 2283852
Kwani lipo? Mi silioni ngoja nimuulize fimboyaasali Madame B Ukwaju Ngalikihinjajukwaa au muonekano mpya wa jf😂😂
Tofautisha kuwatamani vs kuwapuliza mkuundo mnaongoza kuwatamani😂
Huyu kagoma mpk siku ya hukumu kwa mola huko juu atagonga mkorogo
Yupo Na Rais Nyoshi El Sadaat
Yani.... sahivi tungekua tu kule na ma blanket kutuliza hii baridi, miss you more.I miss you mama yeyooo... daah lile jukwaa letu limetufanya tupoteane sana.
Afu wametukaba hatarii
kila jambo na wakati wake, huyu bi mkubwa alijua kutupa raha, mgumba sasa amezaa tena kwafujo mapacha watatu wawili warembo kama mama yao na mmoja dume sura ya baba yake copyright eeh[emoji445][emoji441][emoji446][emoji443][emoji449][emoji448][emoji450]
Kashazeeka huyoKweli kila jambo na wakati wake, umri umekwenda sasa ameamua kupunguza mambo mengi.
View attachment 2279382