Muonekano mpya wa Raymond wa wasafi!

Nyimbo mbili tu ameshaanza kusuka nywele akifikisha nyimbo 10 atasuka hadi nywele za kwapa usanii sio kujibadili mwonekano watu tunataka kazi bora na sio kujibadili kua kama mapoa
 
Ukitaka kupasuka kichwa fuatilia maisha ya wasaniii....hawa kazi yao ni kukupa kitu cha kuongea yaani usipomsema hana amani kwaio brothers and sister save your povuz for some other things
 
Mdomo na macho kwa picha ya kwanza plus picha ya nne alivokaa kauachia utadhani ni kijana poa mh!!
 
je unaamini huu ni mwonekano mpya wa RAYMond
 
Binafsi naamini hii thread ipo katika kumpa kiki kimtizamo hasi,ama kumkashfu dogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…