Muonekano mpya wa Raymond wa wasafi!

Muonekano mpya wa Raymond wa wasafi!

Makonda akiziona picha hz lazma alie dogo anamuaibisha mlezi wao uyu
 
hawa mameneja wao wanafanya kazi gani! Huyu dogo ni handsome mrembomrembo, akizidisha mabazazi watamfatafata.
 
Raymond Mdogo wangu toka Mbeya umekuja kuwaje! Namjua huyu dogo toka kitambo kabla hajafahamika na kweli dogo ni muimbaji mzuri ila hiki nini sasa

Wasanii wa bongo ifike muda wajue usanii sio lazima ubadilishe muonekano ili kuonekana wewe ni msanii, fanya Kazi usanii wako utaonekana tu. Watu kama kina Ben Pol wanawika na nadhifu pasipo Kuweka hayo maheleni

Halafu naona sasa hoop earrings ndiyo mtindo mpya kwa wasanii wetu ili waonekane wamekubuhu kumbe ndiyo wanaonekana machoko zaidi. Smh
Kwel kabsa mbna ben paul yuko smart tu na anafanya poa
 
Makonda ndio promota mkubwa wa huu mchezo hapo jijini Dar. Watu walikuwa hawana habari yeye ndio kawapa kiki tu hawa.
 
Aiseeeee


upload_2016-8-4_12-43-15.png
 
kasahau kitu kimoja tu mchubuo wa usoni baaas! so aharakishe fasta ajichokoe usoni
 
Back
Top Bottom