Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Masahihisho - Tazara hakuna Flyover pale pana kivuko tu , ondoa ushamba wako wa GeitaTAZARA FLY OVER katika Muonekano Mpya ikiwa katika hatua za Mwisho kukamilika. ... Huyu Ndiye MAGUFULI anayechukiwa na kikosi cha Wapiga dili, Vibaka na Misheni town, wakwepa Kodi n.k ...
Huyu Ndiye Rais Magufuli aliyepoteza umaarufu kwenye Makaratasi ya Watafiti na Wanasiasa uchwara .... Na hii ndiyo Tanzania Mpya tunayoitaka.
Watapata tabu sana.
Najivunia
View attachment 813205
KabisaaaaKwakuwa watu wasioujulikana hawajagusa maisha yako wala ya ndugu zako.
Huko Ethiopia waliokoandama kumtoa dikteta kuna ndege nyinyi tu na miuindombinu mizuri lakini havikupumbaza wananchi.
Acheni ushamba na kuwa wajinga!!
Hiyo ni interchange; kwa nini mnajifanya vichwa maji lakini?View attachment 813233
Hiyo ya kwetu unaiita Flyover, na hii utaiitaje Mkuu..? Pale Tazara lile ni daraja Mkuu..
[emoji736]Kama sikosei mradi huu ulianzishwa na kipindi cha awamu ya nne.........wamu ya tano wamemalizia mradi wenyewe....pongezi ziende kwao wote.
Are you realy serious?unatania maendeleo au hujui unaadika nini?Maendeleo ni kuwa na uhakika wa kula milo yote mitatu na kwa menu nzuri, watu kupatiwa elimu nzuri, huduma nzuri ya afya, maji nk. Flyover ya Tazara, sio kipaumbele.
Subiri ikamilike mzee Zindua ataenda kuzindua na mipasho juu, kama namwona akisema "Hii flyover imejenga CCM kwa sababu ndicho chama kinachopenda maendeleo" CCM hoyee kisha anasema "Ndugu zangu watanzania maendeleo hayana chama, ndio maana mimi mwenyekiti wa CCM nimejenga ili Chadema wapite, wafanye na maandamano" Haya Mbowe njoo hapa nataka useme wewe mwenyekiti wa Chadema umetoa Shilingi ngapi kujenga hapa maana mimi wa CCM nimejenga!! Watu; ooh oohMleta mada umewahi kutoka nje ya Tanzania? Kwanza ile sidhani kama ni flyover wala huwezi kuiita ni interchange. Kiuhalisia lile ni daraja. Lakini tunavyopiga kelele utadhani tumefanya maajabu katika Dunia.
Vitu vidogo kama hivyo vinatakiwa kujengwa bila ya kelele wala matangazo maana ni vya kawaida mno.
Kama huwezi kwenda mbali, nenda hata hapo Nairobi, ukaone zilizopo na zinazojengwa bila kelele.
eti kudharau chako,una chako hapo ww hela kujenga hilo daraja imetolewa na hao hao wazungu wahandisi ni hao hao.cha kwako hapo labda ni ardhi tuKwani kuna tofauti gani hapo au kwa sababu hizo zimepishana? acha kudharau chako utakuwa mtumwa.
na wewe mpe tuzo ya fly over ili moyo wako utulie! Watu hatuna hela we unaleta mambo ya fly over, yaani ni kama watoto wa kota wanapoenda uswahilini na stori za isidingo! Leta uchumi mefukoni shubamitii..!
sasa hiyo ya Tazara ni barabara,ww uliona wapi flyover ya MITA 200Umeongea kwa kufanya utafiti au chuki dhidi ya Serikali ya mheshimiwa JPM? Maana ungejua advantage za kujenga fly over usingukuja na blah blah.
Kwa kukusaidia tafuta hotuba ya Waziri kivuli wa mawasiliano na uchukuzi(MBATIA) kwa upande upinzani ya mwaka wa fedha 2016/2017 anaongelea umuhimu wa barabara za juu(fly over) tena ilikuwa inashauri serikali kwa ijenge barabara za juu ili ujue ina multi impact gani kwa maendeleo ya kiuchumi kama nchi na wananchi kiujumla.
huoni utofauti hapo... ?Kwani kuna tofauti gani hapo au kwa sababu hizo zimepishana? acha kudharau chako utakuwa mtumwa.
Siku ikijengwa hii kwenye awamu ya huyu mpenda sifa nadhani wataweka live camera za TBC zikirekodi magari yakiwa yanapita mwaka mzimaView attachment 813233
Hiyo ya kwetu unaiita Flyover, na hii utaiitaje Mkuu..? Pale Tazara lile ni daraja Mkuu..
mkuu hii ni flyover au Daraja tu kama la Mbutu?TAZARA FLY OVER katika Muonekano Mpya ikiwa katika hatua za Mwisho kukamilika. ... Huyu Ndiye MAGUFULI anayechukiwa na kikosi cha Wapiga dili, Vibaka na Misheni town, wakwepa Kodi n.k ...
Huyu Ndiye Rais Magufuli aliyepoteza umaarufu kwenye Makaratasi ya Watafiti na Wanasiasa uchwara .... Na hii ndiyo Tanzania Mpya tunayoitaka.
Watapata tabu sana.
Najivunia
View attachment 813205
Hio ni pass overzote ni fly over
mama yako ndio ataoelewa! Pole!Huna hela??? Unatafuta nini mjini? Utaolewa!!!!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Subiri ikamilike mzee Zindua ataenda kuzindua na mipasho juu, kama namwona akisema "Hii flyover imejenga CCM kwa sababu ndicho chama kinachopenda maendeleo" CCM hoyee kisha anasema "Ndugu zangu watanzania maendeleo hayana chama, ndio maana mimi mwenyekiti wa CCM nimejenga ili Chadema wapite, wafanye na maandamano" Haya Mbowe njoo hapa nataka useme wewe mwenyekiti wa Chadema umetoa Shilingi ngapi kujenga hapa maana mimi wa CCM nimejenga!! Watu; ooh ooh
Yeye; Aseme hapa hapa nanyie msikie katoa ngapi????
Mbowe; Mh ujenzi wa Hii. . (Anakatizwa)
Mzinduaji; Sema Shilingi ngapi?? Au hujatoa? ? Jamani Ndugu zangu si mmeona lakini???
Changamoto za Ulaya hazitokani na maamuzi ya kukurupuka, kutofutwa bajeti, mtu mmoja kuwa na maamuzi ya kila kitu, vipaumbe vibovu, kupuuza sekta muhimu za kiuchumi na kibiashara katika nchi, n.kBinafsi sikulinganisha ulaya na Tanzania ila wewe ndio umelinganisha fly over zao na ukosefu wa ajira.
Ndio maana nilikuuliza kumbe unajua hata Ulaya kuna changamoto, Kwani Tanzania ni nani isiwe na changamoto?
Hii definition imekosewa?Mleta mada umewahi kutoka nje ya Tanzania? Kwanza ile sidhani kama ni flyover wala huwezi kuiita ni interchange. Kiuhalisia lile ni daraja. Lakini tunavyopiga kelele utadhani tumefanya maajabu katika Dunia.
Vitu vidogo kama hivyo vinatakiwa kujengwa bila ya kelele wala matangazo maana ni vya kawaida mno.
Kama huwezi kwenda mbali, nenda hata hapo Nairobi, ukaone zilizopo na zinazojengwa bila kelele.