Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Masahihisho - Tazara hakuna Flyover pale pana kivuko tu , ondoa ushamba wako wa GeitaTAZARA FLY OVER katika Muonekano Mpya ikiwa katika hatua za Mwisho kukamilika. ... Huyu Ndiye MAGUFULI anayechukiwa na kikosi cha Wapiga dili, Vibaka na Misheni town, wakwepa Kodi n.k ...
Huyu Ndiye Rais Magufuli aliyepoteza umaarufu kwenye Makaratasi ya Watafiti na Wanasiasa uchwara .... Na hii ndiyo Tanzania Mpya tunayoitaka.
Watapata tabu sana.
Najivunia
View attachment 813205
Unajua kichwa cha habari kikiwa cha uongo basi content inakosa uhalali pia