SI KWELI Muonekano wa Mabasi mapya ya Mwendokasi yaliyoletwa na DART

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Mtu ukisema hujawahi kufika Mbagala kuna watu wanaona kama kejeli
Binafsi ni kama wewe,siwezi kwenda sehemu bila sababu
Nikweli japo kuna wengi hufanya kwa kukejeli has naona wanaotokea upande wa kaskazini mwa DSM kwamaana Kimara, Mbezi, Tegeta.

Kijiografia DSM imekaa kama mkono ina njiia kuu tano (Mbagala, Gongo Mboto, Mbezi, Tegeta na Njia Kigamboni) ambazo zote zina Converge katikati ambapo no City Centre, asiliamia kubwa ya wa watu wa njia moja ngumu kufika njia nyengine bila bila kuwa na sababu ya ndugu, kazi nk.

Mimi nasihi Kigamboni tangu nizaliwe hadi huu umri wa 30 Tegeta nimepita na gari mara moja tu kuelekea Bagamoyo kishuleshule, Gongo la mboto ni lamia ngoja niende bila sababu, bila kwenda bila sasababu nisingefika sehemu nyingi.

Ni kawaida mtu wa Tegeta mbezi kutokufika mbagala kabisa, kingine watu wa mbaga rahisi sana kupata sababu ya kwenda Mbezi na Tegeta kuliko wa Tegeta kwenda Mbagala kwasababu Mbagala kuna fursa ndogo sana za ajira ukilinganisha na Mbezi huko, hata ukiangalia Jukwaa lile la ajira huon kazi hata moja mbagala ila Mbezi kawaida.
 


Kama kweli haya Mabasi yaliyopo bandarini ni mali ya UDART,

Basi miongoni mwakazi muhimu za PPP itakuwa ni haya magari mapya ambayo ni full AC wale wakupanda na samaki kutoka Feri mjitafakari.

Tetesi ni kwamba tayari bandarini yameingia Mabasi zaidi 80 Je, ni yetu?

Kwa mara ya kwanza Tanzania tutaanza kuona faida za PPP-Cetre kama kweli haya Mabasi yatakuwa ni mali yetu.

Kama Mabasi haya si yetu basi PPP wachukue mfano huu wa Mabasi kwani unavutia sana.

Tanzania, kama ni kweli Mabasi haya ni yetu au yale yetu yaliyoko njiani na kwa mambo mazuri kama haya ya bandari yetu tunamwachaje Rais Samia 2025?​
 
Kama kweli yataendelea kuwa hivi itakuwa njema sana
 
Acha upuuzi.
Hayo mabasi yapo huku Mwandiga?
Sisi mabasi hayo hayatuhusu,sukari Fake tuliyolishwa ndiyo inatutesa.
 
2025 nitakapokuwa rais.cha kwanza kabisa ni kuutupilia mbali huu mradi wa kihuni.mradi umeonesha failure 100%
 
Sio mali yetu. Sisi tunachukua EV za Uganda.
 
Yatafika mikoani ???!
 
Kwan pesa anatoa ktk mfuko wake huyo mama Samia? Pesa zinatoka kwa wanachi wenyewee. Lol
Ndio ni zetu ila akizitumia vizur lazima tumpe pongezi
Maana akifanya vibaya tunamsema asa kwann akifanya vizur tusimpe big up
 
Ndio ni zetu ila akizitumia vizur lazima tumpe pongezi
Maana akifanya vibaya tunamsema asa kwann akifanya vizur tusimpe big up
Kwanini afanye vibayaa? Sisi tunataka mazuri tyuuh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…