mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
wewe 😂Safi kabisa,
Naongezea hizo picha ziwe 3 tofauti na moja akiwa kwenye swimming pool [emoji851]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe 😂Safi kabisa,
Naongezea hizo picha ziwe 3 tofauti na moja akiwa kwenye swimming pool [emoji851]
Ndo mambo zeke hizo tangu akiwa mdogo alisemaga😅Hakufai huyo 😅😅
Aah wapi,Sample zako hizo mkuu
Tangu day one nilijua TU hapa tunapigwa, nilijua TU!Najielezea Mimi kimuonekano Niko na character za kitomboy jinsi navyovaa na baadhi ya maisha yangu kwa ujumla Ila ni mwanamke mzuri tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wewe [emoji23]
Basi ndio watu wazima hao alio maanisha Raisi kama hivyoWewe upo JF tangu inaitwa Jambo hujawajua tu watu wake na vituko vyake?
Watakaoenda PM watatupa majibuTangu day one nilijua TU hapa tunapigwa, nilijua TU!
I knew it from the beginning 😂 hahaha 🤣 wapo wengi sana humu ndaniAah wapi,
Dume lenzenu hilo linatafuta upenyo wa kumpiga mtu na kitu kizito
Sijawahi kula tomboySafi kabisa,
Naongezea hizo picha ziwe 3 tofauti na moja akiwa kwenye swimming pool [emoji851]
Litakuwa linatoa ndogo eti!!!Aah wapi,
Dume lenzenu hilo linatafuta upenyo wa kumpiga mtu na kitu kizito
DuhYou sound like jidume lenye misuli mikubwa na midevu ya kunyolewa na shoka,
Jitafakari sana.
Teh teh, mibaba yenye misuli iwekane yenyewe isiwaingilie watotoBasi ndio watu wazima hao alio maanisha Raisi kama hivyo
Tutafute tu popcorn na Pepsi yajayo yanatia raha [emoji1787][emoji1787]I knew it from the beginning [emoji23] hahaha [emoji1787] wapo wengi sana humu ndani
uhakika hauwezi kuwepo ukute ni dem kweli....Watakaoenda PM watatupa majibu
Walishaenda wa kutosha, sema watu kama Hawa wanakuaga smart sana kwenye kuchagua victims wao. HawakurupukiWatakaoenda PM watatupa majibu
Sooner or later!Tutafute tu popcorn na Pepsi yajayo yanatia raha [emoji1787][emoji1787]
Fursa hiyooooooo,Sijawahi kula tomboy
Acha niendeFursa hiyooooooo,
Unasubiri nini kuzama PM