Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Mdada mzuri kuna mwenzio tulisoma nae alikuwa anatokeo huko kaskazini tena Arusha tulimsema mpaka akabdilika sasa mwaka mmoja baadae tulivyomaliza chuo tulipoteana ila palikuwa na jamaa wa huko na yupo njema kiuchumu nilisikia yupo tayari kumuoa.
Mdada kubadilika sio dhambi hyo kanda yenu wanawake wengi hwafurahii malezi ya kike kutokana na mazingira so jaribu kubadilika na pia mamitumba haya kwa wanawake vaa Vishati, magauni ,suruali za kawaida pana ila sio majeans.
Jipende sana then jaribu kuwa na lugha mzuri na mwendo uwe smart nyie lugha yenu ina noise sana yaani haina ustaarabu mtu anaweza kuwa anaongea kawaida ila kama muhuni kifupi kwa wanaume safi ila wanawake haipendezi jaribu kukaa sana na wadada wenzio.
kingine nyuzi zako za ufeminist ufute kabisa waombe wahusika tena temana nayo mambo ya ufeminist hiyo kanda yenu ndo vinara.
Mdada kubadilika sio dhambi hyo kanda yenu wanawake wengi hwafurahii malezi ya kike kutokana na mazingira so jaribu kubadilika na pia mamitumba haya kwa wanawake vaa Vishati, magauni ,suruali za kawaida pana ila sio majeans.
Jipende sana then jaribu kuwa na lugha mzuri na mwendo uwe smart nyie lugha yenu ina noise sana yaani haina ustaarabu mtu anaweza kuwa anaongea kawaida ila kama muhuni kifupi kwa wanaume safi ila wanawake haipendezi jaribu kukaa sana na wadada wenzio.
kingine nyuzi zako za ufeminist ufute kabisa waombe wahusika tena temana nayo mambo ya ufeminist hiyo kanda yenu ndo vinara.