Muonekano wangu ndio tatizo

Muonekano wangu ndio tatizo

Mdada mzuri kuna mwenzio tulisoma nae alikuwa anatokeo huko kaskazini tena Arusha tulimsema mpaka akabdilika sasa mwaka mmoja baadae tulivyomaliza chuo tulipoteana ila palikuwa na jamaa wa huko na yupo njema kiuchumu nilisikia yupo tayari kumuoa.

Mdada kubadilika sio dhambi hyo kanda yenu wanawake wengi hwafurahii malezi ya kike kutokana na mazingira so jaribu kubadilika na pia mamitumba haya kwa wanawake vaa Vishati, magauni ,suruali za kawaida pana ila sio majeans.

Jipende sana then jaribu kuwa na lugha mzuri na mwendo uwe smart nyie lugha yenu ina noise sana yaani haina ustaarabu mtu anaweza kuwa anaongea kawaida ila kama muhuni kifupi kwa wanaume safi ila wanawake haipendezi jaribu kukaa sana na wadada wenzio.



kingine nyuzi zako za ufeminist ufute kabisa waombe wahusika tena temana nayo mambo ya ufeminist hiyo kanda yenu ndo vinara.
 
Jamii forum ni sehemu sahihi ya kupata ushauri,samahani Kama ntakuwa nawakera kuleta mada mpya kila siku Nina Visa na mikasa kwenye life langu.

Mimi ni mtoto wa 5 Kati ya familia yenye watoto 8,sitaielezea familia yangu kwa undani Kuna watu watafahamu code,nina diploma ya uhandishi wa habari nilisomea chuo x mwaka 2019,now napiga harakati za kuuza nguo za mitumba za kike, biashara hii imenikutanisha na rafiki wengi wa kike wengine tupo closed Sana Kuna time tunatembelea.

Najielezea Mimi kimuonekano Niko na character za kitomboy jinsi navyovaa na baadhi ya maisha yangu kwa ujumla Ila ni mwanamke mzuri tu.

Shida natishiwa Sana mtaani na wanaume eti Nina tabia ya usagaji niachane wake zao wakati sio kweri urafiki wangu upo kibiashara imefanya mpaka biashara yangu haiendi vizuri,tatizo muonekano wangu na lifestyle yangu.

Wana Jamii forum naomba mnipe majibu yenye staha na mazuri
Ushauri wangu tafuta bwana akuoe au beba mimba uwafumbe mdomo.
 
Jamii forum ni sehemu sahihi ya kupata ushauri,samahani Kama ntakuwa nawakera kuleta mada mpya kila siku Nina Visa na mikasa kwenye life langu.

Mimi ni mtoto wa 5 Kati ya familia yenye watoto 8,sitaielezea familia yangu kwa undani Kuna watu watafahamu code,nina diploma ya uhandishi wa habari nilisomea chuo x mwaka 2019,now napiga harakati za kuuza nguo za mitumba za kike, biashara hii imenikutanisha na rafiki wengi wa kike wengine tupo closed Sana Kuna time tunatembelea.

Najielezea Mimi kimuonekano Niko na character za kitomboy jinsi navyovaa na baadhi ya maisha yangu kwa ujumla Ila ni mwanamke mzuri tu.

Shida natishiwa Sana mtaani na wanaume eti Nina tabia ya usagaji niachane wake zao wakati sio kweri urafiki wangu upo kibiashara imefanya mpaka biashara yangu haiendi vizuri,tatizo muonekano wangu na lifestyle yangu.

Wana Jamii forum naomba mnipe majibu yenye staha na mazuri
Uhandishi[emoji777], kweri[emoji777]
 
Wajinga wapo wengi sana. Umesomea habari na hujitambui
 
Jamii forum ni sehemu sahihi ya kupata ushauri,samahani Kama ntakuwa nawakera kuleta mada mpya kila siku Nina Visa na mikasa kwenye life langu.

Mimi ni mtoto wa 5 Kati ya familia yenye watoto 8,sitaielezea familia yangu kwa undani Kuna watu watafahamu code,nina diploma ya uhandishi wa habari nilisomea chuo x mwaka 2019,now napiga harakati za kuuza nguo za mitumba za kike, biashara hii imenikutanisha na rafiki wengi wa kike wengine tupo closed Sana Kuna time tunatembelea.

Najielezea Mimi kimuonekano Niko na character za kitomboy jinsi navyovaa na baadhi ya maisha yangu kwa ujumla Ila ni mwanamke mzuri tu.

Shida natishiwa Sana mtaani na wanaume eti Nina tabia ya usagaji niachane wake zao wakati sio kweri urafiki wangu upo kibiashara imefanya mpaka biashara yangu haiendi vizuri,tatizo muonekano wangu na lifestyle yangu.

Wana Jamii forum naomba mnipe majibu yenye staha na mazuri
Sasa si ubadilike mbona rahisi
 
Jamii forum ni sehemu sahihi ya kupata ushauri,samahani Kama ntakuwa nawakera kuleta mada mpya kila siku Nina Visa na mikasa kwenye life langu.

Mimi ni mtoto wa 5 Kati ya familia yenye watoto 8,sitaielezea familia yangu kwa undani Kuna watu watafahamu code,nina diploma ya uhandishi wa habari nilisomea chuo x mwaka 2019,now napiga harakati za kuuza nguo za mitumba za kike, biashara hii imenikutanisha na rafiki wengi wa kike wengine tupo closed Sana Kuna time tunatembelea.

Najielezea Mimi kimuonekano Niko na character za kitomboy jinsi navyovaa na baadhi ya maisha yangu kwa ujumla Ila ni mwanamke mzuri tu.

Shida natishiwa Sana mtaani na wanaume eti Nina tabia ya usagaji niachane wake zao wakati sio kweri urafiki wangu upo kibiashara imefanya mpaka biashara yangu haiendi vizuri,tatizo muonekano wangu na lifestyle yangu.

Wana Jamii forum naomba mnipe majibu yenye staha na mazuri
"Mhandishi" wa habari acha vituko.Umeshajua changamoto zako ni zipi.Sasa ndiyo ubadilike na kujiweka kama mwanamke.Utamaliza utata.
 
Back
Top Bottom