Muonekano wangu unanitesa mahusiano yangu hayadumu

Wale tiGo
 
Ushauri
Acha ufala, haya ya kujiona mzuri hadi kujionea aibu ndio yanafanya wakukimbie. Stop feminine character
 
JF wanaume wazuri hatari, wanawake sasa!!! Maana wanawake hawajawahi kujianzishia uzi kwamba wao ni wazuri, na hata wakianzishiwa uzi ni wakupondwa tu, wabaya, vizee 🤣
Wanasema sisi ni mashangazi tuna sura za baba...tunawaangalia tunasema hiiiiii......
 
mimi nina 168cm na siringi😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…