MUONGOZO: Mambo ya kuzingatia unaponunua gari lililotumika ndani ya Tanzania

MUONGOZO: Mambo ya kuzingatia unaponunua gari lililotumika ndani ya Tanzania

Lazima nirudi,uzi mzuri Ila mimi sijui kwa nini mara nyingi watu wengi huwa wanaharaka.
Mtu hela yake unamwambia tulia twende taratibu utakuja kumuona na kigari chake huyooooo kesha nunua..
Baaada ya muda anakuulizia wapi kuna mafundi wazuri hahahahahaa.
Kaaaazi kweli

Kuna rafiki yangu aliniomba ushauri kuhusu gari fulani,nikamwambia usinunue lakini baada ya wiki nikamuona nayo!!! Sasa hivi nimekuwa mshauri wake wa kiufundi,kila siku majanga! Papaara mbaya sana
 
Kuna rafiki yangu aliniomba ushauri kuhusu gari fulani,nikamwambia usinunue lakini baada ya wiki nikamuona nayo!!! Sasa hivi nimekuwa mshauri wake wa kiufundi,kila siku majanga! Papaara mbaya sana

Mkuu kuna ujumbe wako pm.
 
Jaman kwa nn kusiwepo na grup watsapp hvyo vyote vfanyike humo n km lipo naomba admn wa grup naomba mniadd
 
Uza muhimu sana kwangu...na nina uhakika utadumu sana hapa
jukwaani kwani una jenga sana.
 
nataka kununua gari, tatizo ni lililotumika, lkn najitumainishA KUWA tabu na umakini utanisaidia, ingekuwa ya kuleta from jpn presh ingekuwa chini
 
Wakuu sehemu gani nzuri kwa dar au mwanza kwa kupiga rangi ya gari?
Ubarikiwe sana mleta uzi.
 
Anayeuliza group LA whasp muulize Mshana Jr lipo LA kuhusu magari tu ataku join huko karibu
 
Safi sana mdau pia cheki chasis namba ktk kadi kama zaendana na zilizo ktk chasis ya gari, cheki brezer inapimuaje mf. Kwa presha kubwa yenye moshi jua comprehession inapanda juu so Gari italosa nguvu na kuhitaji overhaul so Ni vitu muhimu kujua, kama inawezekana mwaga diff na ingine oil kwa gari za diff then weka mpya drive kama engine inagonga utaisikia na diff kama yavuma utaisikia coz watu wanatabia ya kuweka sodust/pumba laini kuchanganya grisi na diff oil ili kuzuia mvumo wa diff ila uliweka diff oil mpya bila sodust na grisi lazima ivume ns upande wa injini watu huweka oil no. 140 diff/gear oil kuzuia kugonga coz ni nzito so Tappets, cam follers na push rods zinakuwa zinakuwa kimya ila zinakuwa overloaded
 
so ulitaka kusema wewe ni usalama? za long sana hizo. kitambulisho wala hakiwezi ogopesha mtu kama ana nia ya kufanya jambo.

Usiogope Mwanangu mm nilipofikia Hatua ya kununua gari nilitulia sana kwanza kablayakununua mwaka 1 nilifanya window shopping karibuu
*3 then ilipofka nilikwenda Ma fund Dereva kutoka mkoani kwangu. Nikaanza mwenyewe window shopping kutoka manyanya yard hadi AAR hosp had US Embassy pale, Nikachua muda Wa sku zngne 3 Na mke wangu tukifunga nakumuomba Bwana atupe gari bora. Wapambe ni Wengi had ktk family take care. Baada ya maombi nikaenda yard pale AAR+ nikapata ki Carina changu bomba kiulaiiinii namwita fund kakikubali. Nikaacha ktambulisho changu cha kaz Kama dhamana nikaenda kulipia huku nyuma kuna mchaga m1 kakipenda. Maana ilikuea December 2015 lkn huku nyuma ktambulisho cha usalama kikawaogopesha wahindi wale hawakumpa mchaga. Hadi Leo kla anayekiona anaksifia Carina yang mpaka basi. Muombe mungu naye hatakutupaa. Carina hii ni roho ya paka namshukuru mungu. USIOGOPE
 
Back
Top Bottom