RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
- Thread starter
- #141
Lazima nirudi,uzi mzuri Ila mimi sijui kwa nini mara nyingi watu wengi huwa wanaharaka.
Mtu hela yake unamwambia tulia twende taratibu utakuja kumuona na kigari chake huyooooo kesha nunua..
Baaada ya muda anakuulizia wapi kuna mafundi wazuri hahahahahaa.
Kaaaazi kweli
Kuna rafiki yangu aliniomba ushauri kuhusu gari fulani,nikamwambia usinunue lakini baada ya wiki nikamuona nayo!!! Sasa hivi nimekuwa mshauri wake wa kiufundi,kila siku majanga! Papaara mbaya sana