Usiogope Mwanangu mm nilipofikia Hatua ya kununua gari nilitulia sana kwanza kablayakununua mwaka 1 nilifanya window shopping karibuu
*3 then ilipofka nilikwenda Ma fund Dereva kutoka mkoani kwangu. Nikaanza mwenyewe window shopping kutoka manyanya yard hadi AAR hosp had US Embassy pale, Nikachua muda Wa sku zngne 3 Na mke wangu tukifunga nakumuomba Bwana atupe gari bora. Wapambe ni Wengi had ktk family take care. Baada ya maombi nikaenda yard pale AAR+ nikapata ki Carina changu bomba kiulaiiinii namwita fund kakikubali. Nikaacha ktambulisho changu cha kaz Kama dhamana nikaenda kulipia huku nyuma kuna mchaga m1 kakipenda. Maana ilikuea December 2015 lkn huku nyuma ktambulisho cha usalama kikawaogopesha wahindi wale hawakumpa mchaga. Hadi Leo kla anayekiona anaksifia Carina yang mpaka basi. Muombe mungu naye hatakutupaa. Carina hii ni roho ya paka namshukuru mungu. USIOGOPE