MUONGOZO: Mambo ya kuzingatia unaponunua gari lililotumika ndani ya Tanzania


Kuna rafiki yangu aliniomba ushauri kuhusu gari fulani,nikamwambia usinunue lakini baada ya wiki nikamuona nayo!!! Sasa hivi nimekuwa mshauri wake wa kiufundi,kila siku majanga! Papaara mbaya sana
 
Kuna rafiki yangu aliniomba ushauri kuhusu gari fulani,nikamwambia usinunue lakini baada ya wiki nikamuona nayo!!! Sasa hivi nimekuwa mshauri wake wa kiufundi,kila siku majanga! Papaara mbaya sana

Mkuu kuna ujumbe wako pm.
 
Jaman kwa nn kusiwepo na grup watsapp hvyo vyote vfanyike humo n km lipo naomba admn wa grup naomba mniadd
 
Uza muhimu sana kwangu...na nina uhakika utadumu sana hapa
jukwaani kwani una jenga sana.
 
nataka kununua gari, tatizo ni lililotumika, lkn najitumainishA KUWA tabu na umakini utanisaidia, ingekuwa ya kuleta from jpn presh ingekuwa chini
 
Wakuu sehemu gani nzuri kwa dar au mwanza kwa kupiga rangi ya gari?
Ubarikiwe sana mleta uzi.
 
Shikamoo kamandaa dah umeua dilizawatu humundani
 
Anayeuliza group LA whasp muulize Mshana Jr lipo LA kuhusu magari tu ataku join huko karibu
 
Safi sana mdau pia cheki chasis namba ktk kadi kama zaendana na zilizo ktk chasis ya gari, cheki brezer inapimuaje mf. Kwa presha kubwa yenye moshi jua comprehession inapanda juu so Gari italosa nguvu na kuhitaji overhaul so Ni vitu muhimu kujua, kama inawezekana mwaga diff na ingine oil kwa gari za diff then weka mpya drive kama engine inagonga utaisikia na diff kama yavuma utaisikia coz watu wanatabia ya kuweka sodust/pumba laini kuchanganya grisi na diff oil ili kuzuia mvumo wa diff ila uliweka diff oil mpya bila sodust na grisi lazima ivume ns upande wa injini watu huweka oil no. 140 diff/gear oil kuzuia kugonga coz ni nzito so Tappets, cam follers na push rods zinakuwa zinakuwa kimya ila zinakuwa overloaded
 
hv kidongo chekundu bado madalali wa magari wapo?!
 
so ulitaka kusema wewe ni usalama? za long sana hizo. kitambulisho wala hakiwezi ogopesha mtu kama ana nia ya kufanya jambo.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…