Muongozo tafadhali wa pahali pazuri pa kuishi Dar es salaaam

Muongozo tafadhali wa pahali pazuri pa kuishi Dar es salaaam

MUCOS

Member
Joined
Jun 24, 2024
Posts
99
Reaction score
357
Salamu kwenu wakuu

Wakuu baada ya kuishi mkoani kwa muda, sasa naona ni wakati mzuri wa mimi kuhamia jijini Dar es salaaam kutoka mkoani kwa ajili ya kuendeleza mapambano ya kulisaka tonge.

Ombi langu kwenu naomba mnipe muongozo wa sehemu ipi patanifaa kuishi/kupanga kulingana na mahitaji yangu kama ifuatavyo.

a. Sehemu isiyo ya ushuani na sio uswahilini. Natamani iwe eneo la watu wa uchumi/uwezo wa kati/wastani.

b. Sehemu ambayo kuna shule za sekondari nyingi zilizopo karibu karibu. Ziwe ni shule za serikali na watu binafsi.

c. Sehemu yenye population ya kutosha. Inayoweza kukubali biashara za mazao pamoja na biashara ya vyakula mfano wa migahawa

d. Nyumba za kupanga kwa bei ya wastani kati ya 50-60 kwa chumba kimoja.

e. Uhakika wa usafiri na huduma za kijamii.

Asanteni sana wakuu. Busara na hekima zenu zinahitajika sana. Naomba kuwasilisha
 
Chagua kimoja
1. Kodi kubwa kisha nauli ndogo
2. Kodi ndogo kisha nauli kubwa
Mkuu asante kwa muongozo. Naomba kuchagua namba

Kabla sijafanya machagulio naomba kujua kodi kubwa ni kiasi gani kwa chumba kimoja? Na nauli yake ndogo inarange kiasi gani.

Na pia kodi ndogo ni kiasi gani kwa chumba kimoja na hiyo nauli yake kubwa inarange kiasi kipi?
 
Mkuu asante kwa muongozo. Naomba kuchagua namba

Kabla sijafanya machagulio naomba kujua kodi kubwa ni kiasi gani kwa chumba kimoja? Na nauli yake ndogo inarange kiasi gani.

Na pia kodi ndogo ni kiasi gani kwa chumba kimoja na hiyo nauli yake kubwa inarange kiasi kipi?
Kodi kubwa kwa single room 70 na nauli 600
Na kodi 35 nauli yake 900 mpka 1200 kufika mjini
 
Salamu kwenu wakuu

Wakuu baada ya kuishi mkoani kwa muda, sasa naona ni wakati mzuri wa mimi kuhamia jijini Dar es salaaam kutoka mkoani kwa ajili ya kuendeleza mapambano ya kulisaka tonge.

Ombi langu kwenu naomba mnipe muongozo wa sehemu ipi patanifaa kuishi/kupanga kulingana na mahitaji yangu kama ifuatavyo.

a. Sehemu isiyo ya ushuani na sio uswahilini. Natamani iwe eneo la watu wa uchumi/uwezo wa kati/wastani.

b. Sehemu ambayo kuna shule za sekondari nyingi zilizopo karibu karibu. Ziwe ni shule za serikali na watu binafsi.

c. Sehemu yenye population ya kutosha. Inayoweza kukubali biashara za mazao pamoja na biashara ya vyakula mfano wa migahawa

d. Nyumba za kupanga kwa bei ya wastani kati ya 50-60 kwa chumba kimoja.

e. Uhakika wa usafiri na huduma za kijamii.

Asanteni sana wakuu. Busara na hekima zenu zinahitajika sana. Naomba kuwasilisha
Mburahati au Kigogo, pia jaribu Mbande
 
Salamu kwenu wakuu

Wakuu baada ya kuishi mkoani kwa muda, sasa naona ni wakati mzuri wa mimi kuhamia jijini Dar es salaaam kutoka mkoani kwa ajili ya kuendeleza mapambano ya kulisaka tonge.

Ombi langu kwenu naomba mnipe muongozo wa sehemu ipi patanifaa kuishi/kupanga kulingana na mahitaji yangu kama ifuatavyo.

a. Sehemu isiyo ya ushuani na sio uswahilini. Natamani iwe eneo la watu wa uchumi/uwezo wa kati/wastani.

b. Sehemu ambayo kuna shule za sekondari nyingi zilizopo karibu karibu. Ziwe ni shule za serikali na watu binafsi.

c. Sehemu yenye population ya kutosha. Inayoweza kukubali biashara za mazao pamoja na biashara ya vyakula mfano wa migahawa

d. Nyumba za kupanga kwa bei ya wastani kati ya 50-60 kwa chumba kimoja.

e. Uhakika wa usafiri na huduma za kijamii.

Asanteni sana wakuu. Busara na hekima zenu zinahitajika sana. Naomba kuwasilisha
Salamu kwenu wakuu

Wakuu baada ya kuishi mkoani kwa muda, sasa naona ni wakati mzuri wa mimi kuhamia jijini Dar es salaaam kutoka mkoani kwa ajili ya kuendeleza mapambano ya kulisaka tonge.

Ombi langu kwenu naomba mnipe muongozo wa sehemu ipi patanifaa kuishi/kupanga kulingana na mahitaji yangu kama ifuatavyo.

a. Sehemu isiyo ya ushuani na sio uswahilini. Natamani iwe eneo la watu wa uchumi/uwezo wa kati/wastani.

b. Sehemu ambayo kuna shule za sekondari nyingi zilizopo karibu karibu. Ziwe ni shule za serikali na watu binafsi.

c. Sehemu yenye population ya kutosha. Inayoweza kukubali biashara za mazao pamoja na biashara ya vyakula mfano wa migahawa

d. Nyumba za kupanga kwa bei ya wastani kati ya 50-60 kwa chumba kimoja.

e. Uhakika wa usafiri na huduma za kijamii.

Asanteni sana wakuu. Busara na hekima zenu zinahitajika sana. Naomba kuwasilisha
Kinondoni au ilala utapiga biashara zako izo
 
Salamu kwenu wakuu

Wakuu baada ya kuishi mkoani kwa muda, sasa naona ni wakati mzuri wa mimi kuhamia jijini Dar es salaaam kutoka mkoani kwa ajili ya kuendeleza mapambano ya kulisaka tonge.

Ombi langu kwenu naomba mnipe muongozo wa sehemu ipi patanifaa kuishi/kupanga kulingana na mahitaji yangu kama ifuatavyo.

a. Sehemu isiyo ya ushuani na sio uswahilini. Natamani iwe eneo la watu wa uchumi/uwezo wa kati/wastani.

d. Nyumba za kupanga kwa bei ya wastani kati ya 50-60 kwa chumba kimoja.

Kwa bei ya pango unayohitaji tegemea kuishi uswahilini...

La hasha ukubali kuishi nje ya mji...
 
Back
Top Bottom