CHANANJA DYNASTY
JF-Expert Member
- Sep 14, 2024
- 772
- 1,121
sinza, tabata, kinondoni, kijitonyama na magomeni kote huko patakufaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mkuu. Naomba kuuliza kama hutojali, hiyo nyumba ipo sehemu ipi kati ya hizo ulizotaja na bei yake ni ngapi?Chamazi, mbande, kivule,kitunda, chanika,kimara patakufaa
Kuna nyumba mpya na bei haijawa kubwa kihivyo
Kuna population unayotaka
Sio ushuani kihivyo
Nyumba ipi tena?Asante sana mkuu. Naomba kuuliza kama hutojali, hiyo nyumba ipo sehemu ipi kati ya hizo ulizotaja na bei yake ni ngapi?
🤣🤣🤣🤣🤣 Kajua wewe ndo dalaliNyumba ipi tena?
Mimi nmekupa suggestions wewe utachagua mojawapo umtafute dalali akutafutie nyumba
😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣 Kajua wewe ndo dalali
Kuanzia bima mpaka segerea,huko mashule ni mengi tuOk. Asante sana kiongozi. Tabata ipi mkuu. Nifungulie kodi hiyo ili nikifika tu nijue naelekea Tabata shule, Tabata reli au Tabata kimanga
Hapo swhemu ya kuishi ni kimara tu,kwingine kote hakufaiChamazi, mbande, kivule,kitunda, chanika,kimara patakufaa
Kuna nyumba mpya na bei hazijawa kubwa kihivyo
Kuna population unayotaka
Sio ushuani kihivyo
nenda mbagala ukifika azam complex kulia iyo bara bara sijui inaenda mbagala ipi ila kuna sehemu ukifika inakataa kulia tena unaingia ndani ndani kidogo kuna mtaa una shule za msingi na sekondari zipo karibu karibu shule kama nne hiviOk kiongozi. Tafadhali naomba unishauri kwa mahitaji yangu hapo juu ni eneo lipi zuri na kodi yake ni shilingi ngapi?
Population ipo ya kutosha,watu wastaarabu,mzunguko wa hela upo sana tuMkuu hapo umemaliza. Shukrani sana? Kama hutojali, vipi kuhusu gharama za chumba kimoja?.. na population ipo kwa kiasi fulani ee?
Asante sana mkuu. Nimekupata vema kabisa. Ubarikiwe sanaanenda mbagala ukifika azam complex kulia iyo bara bara sijui inaenda mbagala ipi ila kuna sehemu ukifika inakataa kulia tena unaingia ndani ndani kidogo kuna mtaa una shule za msingi na sekondari zipo karibu karibu shule kama nne hivi