Muongozo tafadhali wa pahali pazuri pa kuishi Dar es salaaam

Muongozo tafadhali wa pahali pazuri pa kuishi Dar es salaaam

Daa watu wanakushauri hadi sinza yaani ukipata chumba kwa bei hiyo labda ukute kina vuja au mvua ikinyesha kina jaza maji ndani.
Kutokana na maekezo yako
1.Goba
2.Kimara
3.Mbezi magufuli
4.Tegeta hadi Bunju
Chagua hayo maeneo usafiri upo wa kutosha.
Sio uswahilini au ushuani sana, bei ya vyumba ni moderate 70000 unapata chumba kizuri.
Hakuna waunu wauni saana, population pia ipo
Mkuu Asante sana kwa kuweka sawa haya mambo. Nitazingatia ushauri
 
Hahha hahaha hahaha mkuu sio mwenyeji kihivyo..but kumbuka mm ni mwana JF. Kwa mtu makini wa JF anaweza kutambua hata mitaa yote ya USA kupitia JF. JF ni zaidi ya shule.
We ni mwenyeji😂 mgeni hawez jua hayo maeneo
 
Back
Top Bottom