MUCOS
Member
- Jun 24, 2024
- 99
- 357
- Thread starter
- #41
Mkuu Asante sana. Umemaliza duku duku langu. Ubarikiwe sanaa.Population ipo ya kutosha,watu wastaarabu,mzunguko wa hela upo sana tu
Japo bei ya vyumba imechangamka ila ni rahisi kupata chumba kizuri kulingana na bajeti yako,kuanzia 50,000 mpaka 100,000