asee hio sijawah kuona yani cpu yangu iwe 3.5ghz yaan 3 thousand million cycles per round bado wewe uliye 2.5ghz unipite, hapo hata hesabu zinakataa mkuu,single , hapana amd ni dhaifu lakini sio hvo , unasahau pia kuna cache size , probably yako ni ndogo sababu ni ya kizaman kidogo ,,,, io hyper thread hata mm nnayo mkuu,, alaf baada ya kuona hizo passmark hio sio carrizo yangu mzee, hio ni ya hovyo yani 1.8 ghz [emoji21][emoji21][emoji21] , yangu ni 2.5ghz turbo speed up to 3.5ghz , kumaliza ubishi kila mtu arun benchmark afu alete mrejesho hapa