Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Mkuu kwa bei hio ni rahisi tena sana, PC za i7 quad nyingi bei zake zikiwa mpya ni milioni moja kupanda. hata ingekuwa haina display kabisa bei hio ni ndogo.

INA dedicated GPU?

GPU inayokuja na hio CPU itacheza game nyingi sana kwa 720p, game kama GTA v, pes zote, FIFA zote etc. unaweza kwenda YouTube kuangalia HD 4600 gaming. na kama INA GPU ya nvidia au amd itakuwa vizuri zaidi

kuhusu touch sijui utapata wapi, cheki maeneo ya kkkt kariakoo karibu na aggrey kwenye maduka ya simu. au machinga complex
Nina 700k nataka pc, niweze kucheza gta5 na magem mengine mapya v kwa low setting, nishauri chief nichukuwe aina gaNI
 
Je kwa hii core i3 5005u naweza piga game gani latest ?
 
Je kwa hii core i3 5005u naweza piga game gani latest ?
nyingi tu Mkuu unacheza na CPU hio. angalia tu minimum requirements za game kabla hujalidownload, au kama hujui uliza humu
 
Nilikuwa natafuta laptop nikakutana na hii processor Core i5 M 520. Sasa hapa nimeshindwa kuelewa ni ya generation gani na mambo mengine kama ulivyoelezea.
 
Nilikuwa natafuta laptop nikakutana na hii processor Core i5 M 520. Sasa hapa nimeshindwa kuelewa ni ya generation gani na mambo mengine kama ulivyoelezea.
generation ya kwanza mkuu, ukiona namba ni tatu tu na herufi ipo mwanzo jua ni ya kwanza
 
generation ya kwanza mkuu, ukiona namba ni tatu tu na herufi ipo mwanzo jua ni ya kwanza
Mkuu...swali..nje..ya..topic...hii
Jamaa yangu...analaptop...yake...ilikuwa...na...Windows10...alifanya...reinstallation....na...kuformatted...data...zake...zote...ila....hakudelete...partition..
Je...kuna...uwezekano...kurecover...data...zake....zote..?
Ni...software...ipi...inaweza...kurecover...hizi...data?
 
Mkuu...swali..nje..ya..topic...hii
Jamaa yangu...analaptop...yake...ilikuwa...na...Windows10...alifanya...reinstallation....na...kuformatted...data...zake...zote...ila....hakudelete...partition..
Je...kuna...uwezekano...kurecover...data...zake....zote..?
Ni...software...ipi...inaweza...kurecover...hizi...data?
1. kurecover data sio 100% kweli zinaweza kurudi au zisirudi vizuri
2. inabidi uwe na hdd kubwa zaidi ili kuweza kurecover hizo data
3. software ni nyingi sana google tu recovery software au angalia hizi
The best free file recovery software 2016

kila kitu ni kujaribu,
 
Samahani Chief,laptop zipi(aina) kwa dell au Hp(kwa izi mbili peke yake mfano Hp pavilion 15 au 17) zina Intel hd 4600 mkuu nashida nayo niweze kunnua nataka ncheza fifa16 au COD Black Opps
 
Samahani Chief,laptop zipi(aina) kwa dell au Hp(kwa izi mbili peke yake mfano Hp pavilion 15 au 17) zina Intel hd 4600 mkuu nashida nayo niweze kunnua nataka ncheza fifa16 au COD Black Opps
kama mfuko upo vizuri zenye hd 520, 620, 630 na 530 ni nzuri zaidi zinaanzia around laki 7 hadi 8 kwa i3 na mpaka milioni moja kwa i5.

kama mfuko haupo vizuri ndio hakikisha unapata hd 4600 (4th gen) hizi mara nyingi used unazipata around laki 5 inaweza panda au shuka kidogo.

kuhusu majina ni tabu kidogo sababu series hizo hizo ndio zinakuwa updated tu mfano dell xps 15 zipo za 4th, 5th, 6th na 7th generation, hizo pavilion 15 nazo zipo hivyo hivyo zina kila aina ya cpu hivyo inakuwa ngumu.

hapo hadi upate full name ya laptop ucheki online mfano kama hivi

HP Pavilion 15 -au063
 
kama mfuko upo vizuri zenye hd 520, 620, 630 na 530 ni nzuri zaidi zinaanzia around laki 7 hadi 8 kwa i3 na mpaka milioni moja kwa i5.

kama mfuko haupo vizuri ndio hakikisha unapata hd 4600 (4th gen) hizi mara nyingi used unazipata around laki 5 inaweza panda au shuka kidogo.

kuhusu majina ni tabu kidogo sababu series hizo hizo ndio zinakuwa updated tu mfano dell xps 15 zipo za 4th, 5th, 6th na 7th generation, hizo pavilion 15 nazo zipo hivyo hivyo zina kila aina ya cpu hivyo inakuwa ngumu.

hapo hadi upate full name ya laptop ucheki online mfano kama hivi

HP Pavilion 15 -au063
Nimekuelewa mzee....kwa kuzipata maeneo gan itakuwa rahisi zaid kwa apa dar? Au kama kuna mtu unamfaham anaziuza...

Sent from my SM-J100FN using JamiiForums mobile app
 
Samahani Chief,laptop zipi(aina) kwa dell au Hp(kwa izi mbili peke yake mfano Hp pavilion 15 au 17) zina Intel hd 4600 mkuu nashida nayo niweze kunnua nataka ncheza fifa16 au COD Black Opps
unaweza kutafuta pia zenye processor ya amd, zipo cheap kuliko intel , chagua tu yenye gpu nzuri , utacheza had fifa17
 
Back
Top Bottom