Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Naomba msaada kila niki install window 10 pc yangu ina stack sasa sijui shida nn maana nilitumia power iso kutengeneza bootable flash lakn ikastack then nikatumia Rufus lakin wapi [emoji24][emoji24] Chief-Mkwawa
 
Naomba msaada kila niki install window 10 pc yangu ina stack sasa sijui shida nn maana nilitumia power iso kutengeneza bootable flash lakn ikastack then nikatumia Rufus lakin wapi [emoji24][emoji24] Chief-Mkwawa
Unatumia flash mkuu? Ikistack kuna error yoyote unapata?
 
Unatumia flash mkuu? Ikistack kuna error yoyote unapata?
Nimetumia Flash mkuu, alafu nikiwa naitumia inakuwa natumia inaganda kabisa yaan ina freeze hata kale ka cursor haka move kabisa sijajua shida iko wapi maana hiyo window 10 nilii download zamani nikaiweka kwenye external.
 
Wakubwa hii machine kwa price ya discount 450000/= ni sawa? View attachment 2716171View attachment 2716172

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa makini kuna harufu ya utapeli hapa. Machine nzuri specs zake lakini unaona kabisa vitu vimeandikwa mara mbili mbili, mfano Display haiwezi kuwa Full HD halafu ikawa 2160p halafu 4k display, pia i5 yenye 8 cpu na dedicated vram 8GB haiwezi kaa kwenye slim design etc.

Mwisho wa siku huwezi pata Laptop zenye hizo specs kwa laki 4, mwambie akufanyie delivery ama akwambie duka lake lilipo usikubali kutuma hela online.
 
Mkuu ile pc yangu ya core i3 1005g1 nimeiongezea RAM na ninajipanga niiongezee SSD ya 256, sijui inauzajwe Sata ssd mkuu.
 
Mkuu ile pc yangu ya core i3 1005g1 nimeiongezea RAM na ninajipanga niiongezee SSD ya 256, sijui inauzajwe Sata ssd mkuu.
Ssd tafuta 512GB ama 1TB mkuu, zimeshuka sana siku hizi, zote mbili ni chini ya laki 1 ukitafuta vizuri.
 
Bei ya RAM nayo ile ddr 4 ni shingapi? Maana kunajamaa alinipiga kabisa.
8GB naona jiji wanauza 90,000 sijui madukani, sasa hivi ddr5 zimetoka ddr4 zinashuka.

Aliexpress around 50,000 kwa ddr4 nzuri za 3200mhz za 8gb
 
8GB naona jiji wanauza 90,000 sijui madukani, sasa hivi ddr5 zimetoka ddr4 zinashuka.

Aliexpress around 50,000 kwa ddr4 nzuri za 3200mhz za 8gb
Asante mkuu pc yangu saiv inanisumbua na hii kitu sijui kwann kabla hata sijaweka hiyo Ram naona inaniletea shida dah! [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Asante mkuu pc yangu saiv inanisumbua na hii kitu sijui kwann kabla hata sijaweka hiyo Ram naona inaniletea shida dah! [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]View attachment 2717491
Hio ni bsod mkuu, huwa haina sababu maalum, mwanzo wakati unainunua haikua hivi? Hivi karibuni huja update windows? Sometime kuweka vitu up to date inasaidia pia.
 
Hio ni bsod mkuu, huwa haina sababu maalum, mwanzo wakati unainunua haikua hivi? Hivi karibuni huja update windows? Sometime kuweka vitu up to date inasaidia pia.
Sawa mkuu maana kunasiku niliipiga Window na kui update lakn iliniletea hv, Nikapiga tena na saiv inakuwa pia inaleta hv hata kama niki update mkuu
 
Nina ku bookmark Mwalimu wa maana sana wewe, nininyi ndiyo tunawataka humu siyo wale wa kula tunda kimasihara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…