Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Yah! Ina slots mbili za hard drive, ila na waswas na speed kama ntamix na hiyo 128/256 SSD kama ulivosema!
speed ya ssd haihusiani na ukubwa, unaweza kuwa na ssd ya 128gb na ikawa na speed sana.

na ili ufurahie speed ya ssd inabidi operating system iwe ndani ya hio ssd, na program zako pia ziwe ndani ya ssd.

vitu kama nyimbo, movie, picha, documents etc hivi ndio vinakaa kwenye Hdd.
 
mkuu ivi unaweza badilisha procesor ikiwa ndogo uiupgrade iwe kubwa...?
ndio inawezekana ila kwa generation moja,

kama laptop ni ya zamani basi na cpu yake ya ku upgrade ni ya kizamani vile vile.

mfano computer ya core 2 duo una upgrade na core 2 duo mwenzie au core 2 quad huwezi ukaeka i7 au i5 ya kisasa
 
ndio inawezekana ila kwa generation moja,

kama laptop ni ya zamani basi na cpu yake ya ku upgrade ni ya kizamani vile vile.

mfano computer ya core 2 duo una upgrade na core 2 duo mwenzie au core 2 quad huwezi ukaeka i7 au i5 ya kisasa
ASNTE MKUU NAOMBA NIONGEZEE IVI KWA DELL LATITUDE D 430...NAWEZA NIKAIFANYA IKAWA NA SPEED KUBWA?
 
2gb...lakini speed ni ndogo sana muda mwingine nikiplay video zenye uwezo mkubwa zinascrach....
video mara nyingi ni issue ya gpu, unatumia player gani? download media player classic (mpc) ndio inaplay video nyingi kwenye pc zenye uwezo mdogo.
 
kuna duka lingine lipo mtaa wa jamhuri au Bara bara ya samora(sina uhakika) 128GB wanauza 250k!! sipati picha 2TB itakuwa sh. Ngapi!! Naona afadhari ya mtaa wa uhuru wanayouza 180k-150k kwa 128GB, Chief-Mkwawa kuna duka niliulizia posta wakanambia zipo SSD za CHIP za kawaida hawana sasa hapa nikashindwa kuelewa, maana ebay niloziona zinazofanana na HDD, je? Hizi za Chip zinaweza kubali kwenye Dell Latitude E6400?
 
kuna duka lingine lipo mtaa wa jamhuri au Bara bara ya samora(sina uhakika) 128GB wanauza 250k!! sipati picha 2TB itakuwa sh. Ngapi!!
Nlikuwa nakusubiri mkuu, linaitwaje hilo duka tafadhali?
 
ssd ni speed, huwa mara nyingi utofauti wa bei ni kutokana na speed ila 250k still ni kubwa hata kwa yenye speed.

chip ya kawaida amemaanisha sata? ungeenda na laptop akakuekee mwenyewe.
 
ooohh! Ni mtaa wa uhuru kama unaelekea Posta nikipita nitaangalia jina, maana sikulikalili
 
Boot device not found!!! Kwenye pc naomba msaada hapo mkuu kama una utaalamu kuhusu hilo
 
Mkuu Chief Mkwawa naomba muongozo wako;
1.je ninaweza kubadilisha CPU kutoka i5-6200U kwenda i7?

2.naomba muongozo jinsi ya kufanya partition Hard Disc, ni machine mpya sasa nataka kutenganisha storage ya systeam files ijitegemee kivyake. ukubwa wa HDD ni 1000GB.
 

1. unaweza ndio ila i7 za u nazo ni dual core na hyperthread hazina maana, utofauti wa perfomance kati ya i5 6200u na i7 6500u ni mdogo sana kama 10% tu.

2. kufanya partition ni rahisi tu, tumia tool inayokuja na windows ya disk management, soma zaidi hapa

How to Partition Windows 10 Free – EaseUS
 
Mkuu CHIEF MKWAWA kuna hii desktop ya Hp Compaq yenye specifications hizi:
Intel(R) Pentium(R) 4 CPU 3.06 GHz 3.06 GHz, 496 MB of RAM..
Nataka ku_upgrade RAM, je RAM yenye ukubwa gani itafaa na inapatikana vipi na kwa shilingi ngapi..!? Je hiyo processer ipo vizuri..!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…