Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #1,941
Processor ipo vizuri Mkuu na huwezi kuiongeza.Mkuu hivi hii processor yangu iko sawa kweli? naweza kuiongeza? naweza kucheza game?View attachment 1820384
Ni laptop hii? Kama fundi ameshindwa ni kuagizishia tu nje.Wakuu wapi naweza pata motherboard ya hp 15 Da kama inavyooneka kwenye picha maana nimempatia fundi anadai kashindwa ipataView attachment 1821397
Ndio ni laptop ilipigwa short na cable ya ethernet as if ilikuwa cable ya umeme,wasiwasi wangu ni kupata exactly na iliyoungua. Je nikipata motherboard ya i7 na iliyokuwepo ni i5 je itakubali kufanya kazi?na kama ni ndio hakuna madhara katika performance?Ni laptop hii? Kama fundi ameshindwa ni kuagizishia tu nje.
Ndio inafanya, na hakuna madhara performance itaongezeka kama inakuja na cpu built in. Sema iwe model moja tu.Ndio ni laptop ilipigwa short na cable ya ethernet as if ilikuwa cable ya umeme,wasiwasi wangu ni kupata exactly na iliyoungua. Je nikipata motherboard ya i7 na iliyokuwepo ni i5 je itakubali kufanya kazi?na kama ni ndio hakuna madhara katika performance?
Kama monitor ina hdmi huhitaji extra device, incase monitor haina speaker (nyingi hazina) utahitaji speaker za nje kwa ajili ya sauti.Naomba kufahamu kuna aliyejaribu kutumia computer monitor kama TV!? Nikimaanisha kuconnect decorder mfano Azam na monitor kwa kutumia HDMI cable?
Inadisplei Full HD vizuri?
Je kuna extra device inahitajika!?
Hivi kaka inapaswa kuwa model moja au ni generation moja?Ndio inafanya, na hakuna madhara performance itaongezeka kama inakuja na cpu built in. Sema iwe model moja tu.
Hio ni laptop, akienda kununua mobo kila kitu kinakuwa humo humo ndani including cpu kwa laptop nyingi.Hivi kaka inapaswa kuwa model moja au ni generation moja?
Kwa leaked documents itakuwa free kwa wenye win 7, 8 na 10.Hii window 11 itapatikana free
Mkuu habari,Kama monitor ina hdmi huhitaji extra device, incase monitor haina speaker (nyingi hazina) utahitaji speaker za nje kwa ajili ya sauti.
Na azam ama King'amuzi chochote kibongo bongo havina full HD.
Ndio 1650 kwa sasa ndio low profile nzuri zaidi, Sema subiria kidogo 3000 series zina roll out.Pia nasikia 1650ti nayo ni kari zaidi
Dah! Me nilijiua high profile ndio ziko juu sanaNdio 1650 kwa sasa ndio low profile nzuri zaidi, Sema subiria kidogo 3000 series zina roll out.
Halafu bei za gpu ni ndefu sana kwa sasa hasa hizi zinazo kula umeme kidogo watu wa crypto wamepandisha bei. Utaambiwa milioni na upuuzi.
Una maanisha nini high profile? Zinazotumia external power toka psu ndio zina nguvu zaidi.Dah! Me nilijiua high profile ndio ziko juu sana
Ndio au utofaut mkubwa uko wapUna maanisha nini high profile? Zinazotumia external power toka psu ndio zina nguvu zaidi.
Hizo zinazotumia umeme wa nje zina nguvu zaidi rtx 3090 ina nguvu kama Mara 4 hivi ya 1650.Ndio au utofaut mkubwa uko wap
Mkuu nimejaribu kuangalia pia benchmark ya rx 550 4gb lakini mbona hata 4gb yake haina parfomance kubwa kiivyo yahn kama ni frame rate inanizid 10 au 15 so hapa inavyo onekana ni kwamba kila gpu ina parfomance yakeHizo zinazotumia umeme wa nje zina nguvu zaidi rtx 3090 ina nguvu kama Mara 4 hivi ya 1650.
Mkuu usiangalie performance ya Gpu kupitia ram. Kabla haijatoka Gtx 1650 rx 550 na gtx 750Ti ndio zilikua Gpu nzuri kwenye low profile na desktop zetu hizi za Ki masikini.Mkuu nimejaribu kuangalia pia benchmark ya rx 550 4gb lakini mbona hata 4gb yake haina parfomance kubwa kiivyo yahn kama ni frame rate inanizid 10 au 15 so hapa inavyo onekana ni kwamba kila gpu ina parfomance yake