akiwa anatumia au hata akiwa hatumii?
laptop za kisasa touchpad zake ni multitouch, zimetengenezwa ili uweze ku apply gestures za windows 10, hivyo zina sense mguso zaidi ya mmoja, inapotokea kuna kitu kimegusa touchpad kama vile kiungo chako cha mwili au uchafu, then na kidole chako pia kinagusa hapo kunakuwa na miguso miwili na utaona cursor ina ruka ruka au inaji right click etc.
sometime linakuwa ni Tatizo tu la touchpad, inaweza kuwa imeharibika.
njia rahisi ni kununua mouse ya nje, au aibadilishe hio touchpad.