Muosha Magari apatisha ajali gari lenye thamani zaidi ya Milioni 100. Akutwa anaruka sarakasi

ndio matokeo ya kuosha gari vichochoroni...
lazima ukutane na wahuni
 
ndio matokeo ya kuosha gari vichochoroni...
lazima ukutane na wahuni
Mkuu, zikifika zimefika tu, hata angeosha wapi. Kuna yule dereva wa RC mara alipark gari home kwake the next thing mwanae akapita nalo
Mimi mzee wangu ameshapigwa sana vitu ndani ya gari kuanzia garage mpaka kwa waosha magari mpaka akaacha kuosha car wash

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Sasa mkuu bima ndogo itamlipaje. Jifunze kuhusu third party liability.
Kingine, ukiwa na bima kubwa (comprehensive) unalipwa hata kama aliyeendesha babu yako. Huyo Mtu wa bima ama ni kilaza au aliamua kusema hivyo ili msimsumbue
Ndugu usiwe mbishi bima inategemea vitu vingi. Sio universal Kama unavyotka wewe. Bima ni mkataba.. je mkataba unasemajee?? All in all hkna excuse kma leseni hkna ninavyujua. Tuendelee kuelimishana
 
Nilikuwa nashangaa wanaosema gari haina bima. Kuna link ya zamani ukiingia utaona gari haina bima Ila hii ndio huwa ipo accurate.

Ishu iliyobaki ni kama dogo alikuwa na leseni.
 
Ukisikia mitihan dunian ndo kama hii Sasa Sasa muosha magari atatoa wap hela ya ford ranger million 120 jamaa inabidi asamehe tu maana hata akimfunga haisaidii bado.

NB:
Hata mimi ningejifanya kichaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bora afungwe ili akitoka awe na heshima na Mali za watu,
Tena kama kuna mashamba yao ya urithi pia yauzwe ,hili walipie nusu hasara

Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
 
muhimu bima hata awe huyo boss utamkuta anaruka sarakasi kama huyo dogo
sidhani kama bima watalipa ...huu ni uzembe wa mwenye gari,

mchongo wa chini ya meza ni kucheza na polisi - wafanyakazi wa bima (hasa manager) kisha kupika taarifa --- hapa mgao yabidi uwe pasu kwa pasu
 
Sio anajifanyisha kweli? 🤔

Hapo ni kumchukulia hatua mengine kama anayo yatajulikana Hospitali.
 
Halafu huku kwetu madongo kuinama mbona hao waoshaji kama siku unataka akusafishie ndani huwa wanasemaga uache wazi gari kisha funguo usepe nazo halafu wao wanalock gari kwa kile kidude cha kulock na ku unlock milango au hii ipo kwetu sisi tunaomiliki vibajaji. Teh.

Hivyo anakosha akimaliza gari anaifunga na hii inafanyika kwa yule muoshaji aliyezoeleka miaka nenda rudi kama hayupo basi aliyepo ataosha nje inatosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…