Muosha Magari apatisha ajali gari lenye thamani zaidi ya Milioni 100. Akutwa anaruka sarakasi

Muosha Magari apatisha ajali gari lenye thamani zaidi ya Milioni 100. Akutwa anaruka sarakasi

Sometimes data zinachelewa kuwa uploaded na hizi kampuni. Hawajawa competent sana kwenye IT. Mie huwa natembea na makaratasi ya Bima, kwa sababu sometimes TIRA MIS huwa haisomi vizuri.
Kuna baadhi ya Makampuni ya Bima ama ndio tabia ya Kampuni ama uzembe wa wafanyakazi wao unakata bima alafu awaingizi kwenye System ya Bima, sina ufahamu na hiyo system ila nahisi kama wasipoingiza basi baada ya mwaka Bima kuisha kiasi cha pesa ambacho kilipaswa kipelekwe sehemu husika hakipelekwi.

Nilishahama Kampuni 1 ya Bima baada ya kukata nikawa kila mara nachungulia kwenye system ya Bima kama imeingizwa na mhusika nampigia simu akawa ana ahidi tunaingiza, ilichukua kama wiki 6 ndio ikawa imeingizwa kwenye system ya Bima, baada ya Mwaka bima inakaribia kuisha akanipigia simu nikamwambia husijali nitakwenda kampuni nyingine yennye kujielewa sababu uwa nina gari jingine nakata kwao na nikikata ndani ya muda mfupi wameshaingiza kwenye system.
 
ila hizo sarakasiii hahaaaa

..ukute gari mkopo haujamaliziwa kulipwa...

nimejifunza, nkienda maeneo ya kuoshea gari, namkabidhi funguo bosi, yeye ndo awape vijana wake ufunguo

Nenda kwenye car wash inayojielewa!! Huyu anaonekana kabisa ni wale vijana wa miferejini halafu unampa gari ya 120m na funguo yake! Uchizi.

Car wash hizi mie naosha nje tu, ninapohitaji usafi wa kina naenda zinazoeleweka!! Na nakuwa na muda wa kusubiri
 
Kuna baadhi ya Makampuni ya Bima ama ndio tabia ya Kampuni ama uzembe wa wafanyakazi wao unakata bima alafu awaingizi kwenye System ya Bima, sina ufahamu na hiyo system ila nahisi kama wasipoingiza basi baada ya mwaka Bima kuisha kiasi cha pesa ambacho kilipaswa kipelekwe sehemu husika hakipelekwi.

Nilishahama Kampuni 1 ya Bima baada ya kukata nikawa kila mara nachungulia kwenye system ya Bima kama imeingizwa na mhusika nampigia simu akawa ana ahidi tunaingiza, ilichukua kama wiki 6 ndio ikawa imeingizwa kwenye system ya Bima, baada ya Mwaka bima inakaribia kuisha akanipigia simu nikamwambia husijali nitakwenda kampuni nyingine yennye kujielewa sababu uwa nina gari jingine nakata kwao na nikikata ndani ya muda mfupi wameshaingiza kwenye system.
Huo uhuni ulikuwepo sana, na naamini bado upo. Ila wamerekebisha sana mambo.
 
Huo uhuni ulikuwepo sana, na naamini bado upo. Ila wamerekebisha sana mambo.
Huo uhuni bado upo mpaka leo...kuna gari ya boss mmoja ilishataka kuniletea msala nimelipia bima 2.5m comprehensive mwezi wa tatu, jamas akachungulia TIRA MIS inasema bima imekwisha siku kadhaa...jamaa akawa anataka kusema nimemtapeli...tulienda moja kwa moja ofisini kwao nikawasha moto balaa ndio wakaiweka na penyewe baada ya wiki 2
 
Kama wamiliki gari ya zaidi ya shilingi 100milioni kwanini usinunue ka- jetwash kako mwenyewe na vifaa vya kuoshea bei rahisi kabisa.

Waosha Jumamosi au Jumapili nyumbani kwako?

Gari la milioni 100 huwezi tu kumpatia mwosha magari wa mitaani aoshe na umpe funguo juu, huo ni ujinga.

Lazima ufahamu anatumia maji yepi, sabuni ya aina gani? na hata fagio ni zipi atumia kufagia ndani ya gari.

Ila haingiii akilini kwenda kulikabidhi gari kama hilo kwa mtu baki ambae huna uhakika na taarifa zake.
 
Kama wamiliki gari ya zaidi ya shilingi 100milioni kwanini usinunue ka- jetwash kako mwenyewe na vifaa vya kuoshea bei rahisi kabisa.

Waosha Jumamosi au Jumapili nyumbani kwako?

Gari la milioni 100 huwezi tu kumpatia mwosha magari wa mitaani aoshe na umpe funguo juu, huo ni ujinga.

Lazima ufahamu anatumia maji yepi, sabuni ya aina gani? na hata fagio ni zipi atumia kufagia ndani ya gari.

Ila haingiii akilini kwenda kulikabidhi gari kama hilo kwa mtu baki ambae huna uhakika na taarifa zake.
Hoja nzuri hii. Mwenye sikio na asikie
 
Ukisikia mitihan dunian ndo kama hii Sasa Sasa muosha magari atatoa wap hela ya ford ranger million 120 jamaa inabidi asamehe tu maana hata akimfunga haisaidii bado.

NB:
Hata mimi ningejifanya kichaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Haa inabidi auze hata figo moja tu na atarudishiwa 200mil chenji ha haaa
 
Iliwahi nitokea miaka 12 iliyopita. Mwoshaji baada ya kuosha alienda kukata mitaa na dinga yangu...TOYOTA RAUM NEW MODEL, enzi hizo Dar nzima zilikuwepo mbili tu...Nilipagawa balaa sikula chakula zaidi ya wiki!
 
Hiyo gari ni total loss.. Ni beyond repair.. Bima watakata less excess 5% na depreciation kisha inayobaki atapewa mmiliki lakini kama tu alikuwa na bima kubwa.

Vile vile wanaweza kumkata percent za uzembe.

NB: Kama bima ni NIC au ZIC ajiandae kwa maumivu ya kufuatilia
Pia ili alipwe kwa hii inshu kwenda viral inahitaji apike data haswa,kwanza dereva kama ana leseni,pili alimpa ruhusa kuendesha,tatu apike mchoro na polisi..ila kama wametumia gia ya dogo kawa chizi kabla ya kukwapua funguo za gari bado kesi ngumu...bima watataka cheti au historia ya ugonjwa wa huyo mtu,bado waende hosp wapike data pesa inatoka tu hapo...
 
Ukisikia mitihan dunian ndo kama hii Sasa Sasa muosha magari atatoa wap hela ya ford ranger million 120 jamaa inabidi asamehe tu maana hata akimfunga haisaidii bado.

NB:
Hata mimi ningejifanya kichaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂😂
 
Kama wamiliki gari ya zaidi ya shilingi 100milioni kwanini usinunue ka- jetwash kako mwenyewe na vifaa vya kuoshea bei rahisi kabisa.

Waosha Jumamosi au Jumapili nyumbani kwako?

Gari la milioni 100 huwezi tu kumpatia mwosha magari wa mitaani aoshe na umpe funguo juu, huo ni ujinga.

Lazima ufahamu anatumia maji yepi, sabuni ya aina gani? na hata fagio ni zipi atumia kufagia ndani ya gari.

Ila haingiii akilini kwenda kulikabidhi gari kama hilo kwa mtu baki ambae huna uhakika na taarifa zake.
Nina mawazo kama yako. Ila Tanzania kwa watu kujifanya ma-boss ni kiboko. Hivi inakuwaje mtu anashindwa kuosha gari mwenyewe? Na mwenye gari utakuta pengine ana bonge la kitambi, akitembea hatua mbili anahema kama chura! Anyways, hata kama huwezi kuosha mwenyewe kwa nini ulipeleke sehemu uwaachie na funguo? Kwa nini usisubiri mpaka wamalize! Nasema hivi kwa sababu Tanzania watu wengi wala hawako busy kiasi cha kushindwa kuosha gari wenyewe au kusubiri. Wengu inakuta analiacha sehemu hivyo anakwenda bar kunywa.
 
Back
Top Bottom