Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Okeee...naheshimu mtazamo wako!She is brilliant yes
DJ sepetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okeee...naheshimu mtazamo wako!She is brilliant yes
DJ sepetu
Faida ni nyingi sana kwanza utaendelea kupata papuchi hata ukiwa Na 70Umzidi miaka 15 means unayetaka kumuoa ana miaka 10 sasa hivi?
Unafikiri kuna faida yoyote ya kumzidi miaka yote hiyo?
Nampenda sana mzee kikwete ana roho nzuri charming huruma Na utuKatika siasa
Uongozi wa sasa na wa uliopita upi ni bora kwako?kwanini?
Ni kweli kabisaFaida ni nyingi sana kwanza utaendelea kupata papuchi hata ukiwa Na 70
Nafasi ya kuzaa ni kubwa
Unamuumba utakavyo kitabia
Hawezi kukusaliti kipuuzi kwa kuwa unateka roho yake
DJ sepetu
wawili wote nimezaa shuleni Na wanafunzi wenzanguMuosha rungu umebahatika kuwa na mtoto?
Nakubaliana na wewe,huyu wa sasa ni....ila wacha tuisome nambaNampenda sana mzee kikwete ana roho nzuri charming huruma Na utu
Huyu Wa sasa mmmh....
DJ sepetu
Kudekadeka kila wakatiNi kweli kabisa
Faida nyingine utaweza kumcontrol kimawazo kwasababu ni mkubwa kwake
Kipi kinachokukera hasa hasa kwa mpenzi uliye naye sasa?
Bandarini pale Na TRANakubaliana na wewe,huyu wa sasa ni....ila wacha tuisome namba
Ikitokea ukapata nafasi ya kumuomba alegeze kamba katika sector fulani,utaomba iwe ipi?
This is absurdHakuna kitu sipendi joanah kama umbea nachukia sana kufuatiliwa ka mkia!
Ingawa napenda kufuatilia wengine[emoji12]
DJ sepetu
Haha watu wengi hawajui nini matumizi na maana ya hilo neno na wengi hushindwa liandika kwa usahihiPressure - Pleasure
tumia kiswahili bosi kuna watu watakuimba hawatojali kama kiingereza ni lugha ya pili.
Joanah.......you really run the show professionally.Nimependa nilipopigia mstari,umekuwa mkweli
Kufatilia mambo ya wengine ni tabia zetu sana sana sisi wa kike,ni kitu gani kimekufanya uwe hivyo ulivyo?
Point of correction mmoja ndio binti mwingine ni Wa kiumeUnaishi nao ama wapo na mama zao?
Tangu hapo hukuwahi kupata wengine au unajikinga vipi kutopata wengine?
Ni changamoto zipi unakutana nazo katika malezi ya hawa mabinti
CC : Lee EmpireNimependa nilipopigia mstari,umekuwa mkweli
Kufatilia mambo ya wengine ni tabia zetu sana sana sisi wa kike,ni kitu gani kimekufanya uwe hivyo ulivyo?
Amebana sana kila kitu imekuwa shida hadi Wateja wengine wanakimbilia bandari ya Mombasa au Zanzibar!Kuhusu bandarini kipi kifanyike?
Binafsi napenda kudekaKudekadeka kila wakati
Kujiona mzuri sana kisa mwarabu
DJ sepetu
Hahahaa she is a mixture of nyaturu Na ArabBinafsi napenda kudeka
Umemtaja wema sepetu kama mwanamke mrembo kwako na tunajua umbo la sepetu lilivyo
Kwa ninavyowajua waarabu wana 'pasi' huku nyuma,what's so good about huyo muarabu?hadi uko naye sasa