syllae
JF-Expert Member
- May 29, 2015
- 1,793
- 1,919
Dah mzeebaba VP mbona unatoa panga mahakamn tena nn tatizo?We saiz yako mabek Tatu
Chawa we
Wa kishua
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah mzeebaba VP mbona unatoa panga mahakamn tena nn tatizo?We saiz yako mabek Tatu
Chawa we
Wa kishua
Not such![emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] duh!!! Mahaba mahabani.
H ha ha ha ha dah unanichekesha koment zakoMtt wa mama miaka 18 unazuga 25 paka we
Wa kishua
Not such hiyo vepe na ratio umechora!! Au wewe calisah?[emoji23] [emoji23] [emoji23]Not such!
DJ sepetu
Na ndio anayejulikana kwa kuchezea marungu ya wengi...wema anahit kweli ila kuhit kwake ni kwa ujinga mwingi kuliko ya maana[emoji23] [emoji23] [emoji23] sio urembo wake tu of course uzuri wake ndio ulinivuta first time lakini baada hustlers zake Na namna alivyoweza kugeuza umaarufu wake kuwa biashara ndipo aliponiua kabisa!
Niambie miss Tanzania yupi aliye hit kama wema of course Na mwenye mafanikio
Don't be bias!
DJ sepetu
Yeahhhh....
Ngoja niwe mkweliUwezo wako darasani ulikuwaje?
Ulishawahi kupata 0 katika maisha yako ya shule?
Somo unalolimudu sana ni lipi?
Kipi unatushauri sisi wadogo zako ambao bado tupo katika issues za kusoma?
"Of she is also brilliant"Mrembo ni kama wema sepetu
Watu wanamsema ila miaka nenda rudi hachuji
Of she is also brilliant
DJ sepetu
Swali zuri kama utamtafuta mwenyewe[emoji23] [emoji23]Na ndio anayejulikana kwa kuchezea marungu ya wengi...wema anahit kweli ila kuhit kwake ni kwa ujinga mwingi kuliko ya maana
Hivi kaishia la ngapi yule?
Hata wewe nakuchora ukitaka ila ta..ko.ni[emoji23] [emoji23]Not such hiyo vepe na ratio umechora!! Au wewe calisah?[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ta.ko.ni kwako eeh??[emoji2] [emoji2] [emoji2]Hata wewe nakuchora ukitaka ila ta..ko.ni[emoji23] [emoji23]
DJ sepetu
Mengine wazazi[emoji23] [emoji23]Hhahahhahahhh
Sawa ila mtu unayempenda unatakiwa ujue mambo madogo kama hayo
Ndio [emoji12] [emoji12]Ta.ko.ni kwako eeh??[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Kuna kitu kinaitwa kupitiwa tu kimaandishi kama ilivyo kimaneno mtu anavyochapia"Of she is also brilliant"
Ndo maan ili lilugha clipend kupita maelezo cjui itakuaj nikiwekwa kikaangon wakataka nilizngumze kweny watu wengi
Sent using Jamii Forums mobile app
SHayaa muosha rungu
Hivi jina lako halisi linaanzia na herufi gani?
Sio mfupi sio mrefu maji ya kundeNaomba idea ya muonekano wako