Muosha rungu live interview on johanah's show!

Muosha rungu live interview on johanah's show!

Ngoja niwe mkweli
Kidato cha kwanza term ya kwanza nilikuwa Wa tatu kati ya pupils 200

Baada ya hapo sikuwahi kushika namba 2 ni 1

Nilipenda sana commerce ,book keeping Na mathematics Na historia o level,advance nikasoma ECA
Niwashauri kuwa soma unachopenda Na sio mzazi anachopenda!

DJ sepetu
 
Back
Top Bottom