Murtaza Mangungu leo ni Countdown yangu ya Kwanza Kwako kukutaka uachie Ngazi Simba SC na usije kusema Sikukuonya kwani huwa sibahatishi kwa lijalo

Mbona amekaa kishamba kishamba sana? Na ikawaje akashindwa kuwa Mbunge hapo mjini hadi akaenda kugombea kule maporini? Hiyo inayoonyesha wapo wa mjini zaidi yake.
Murtaza ni mtoto wa mjini kwelikweli, kwenda kugombea maporini kule ubunge unaokota tu kwa gharama nafuu lakini stahiki za mbunge wa mjini na maporini ziko sawa.
 
Wewe nawe na huyo Mangungu mbona unamtetea sana au una siri kwamba akiendelea kuwepo hapo Simba itaendelea kufanya vibaya na hivyo kwako ww ni jambo la kukufurahisha sana si ndio?
Kama alishindwa kwa Akili zilezile zilizo tengeneza tatizo la Sasa akili hizo alizonazo zitawezaje kuisogeza Simba mbele
 
Una mpango wowote wa Kumzalia Murtaza Mangungu? Manake si kwa Sifa hizi unazompa na unaonekana unapenda sana Wanaume wa Mjini.
Mliokuja mjini na treni ya TRC huwezi kumjuwa Mangungu.

Eng Hersi mtoto wa Kariakoo, Murtaza ndio humohumo, sasa nyinyi washambawashamba mtawaambia nini hao watu wawili?

Mnachpaswa ni kumvumilia mwakani ataondoka mwenyewe anakwenda kuchukuwa Ubunge wake alioporwa na Magufuli.
 
Murtaza ni mtoto wa mjini kwelikweli, kwenda kugombea maporini kule ubunge unaokota tu kwa gharama nafuu lakini stahiki za mbunge wa mjini na maporini ziko sawa.
Kama yeye ni mjanja wa mjini basi apambane na wa mjini wenzake kwenye ubunge. Vinginevyo hana ujanja wowote kama unavyomsifia.
 
Mangungu amechaguliwa na wanachama kwenye mkutano mkuu wa klabu. Unataka ajiuzulu kwa sababu gani? Ungeziorodhesha hizo sababu ili tuzipime na kuona kama zina mashiko, au la.
Kwasababu alimleta manzoki kwenye uchaguzi akidai kashamalizana nae mwisho wa siku zilikuwa propaganda yaani kam ni ulaya mangungu angekuwa ndani saa hizi kawahadaa wananchi ule sio uchaguzi wa CCM.
 
Kwasababu alimleta manzoki kwenye uchaguzi akidai kashamalizana nae mwisho wa siku zilikuwa propaganda yaani kam ni ulaya mangungu angekuwa ndani saa hizi kawahadaa wananchi ule sio uchaguzi wa CCM.
Na kura zote mkampa! Na ubwabwa wake nao mkala!! 😁
 
Sifa za Kipumbavu wakati huna lolote Maishani zaidi ya Ujivuni wa Kitoto. Ungekuwa wa Mjini ungekuwa Fukara ulivyo?
 
Tafadhali aliye Jirani nae amwambie kuwa aachie Ngazi Simba SC kwani GENTAMYCINE huwa Sibahatishi kwa Taarifa.
aiseee hivi Kwanini wewe ni muongo tazama hapa chini 👇
 

Attachments

  • C8BBC911-88DA-441E-ADAA-4C453D755AD3.jpeg
    176 KB · Views: 1
Kwa Elimu uliyompa hapa akithubutu kukurejea tena nitaamini kuwa ana Ugonjwa mkubwa sana wa Akili yaani Utaahira.
je wewe Elimu uliyoipata hapa iliyokupa aibu ya mwaka kutoka kwa dr matola utathubutu kurejea kwake? Tazama hapa chini👇
 

Attachments

  • A6AFFE53-8E4E-425C-AE88-AFC0BBC30861.jpeg
    176 KB · Views: 1
Una mpango wowote wa Kumzalia Murtaza Mangungu? Manake si kwa Sifa hizi unazompa na unaonekana unapenda sana Wanaume wa Mjini.
Hata wewe zile sifa za uongo unazopewa ndiyo zilikufanya ukafunga uzi na kukimbia kwa aibu kubwa bila kurudi tena tazama hapa chini👇
 

Attachments

  • 5D799DC9-5263-4E53-9F51-F20290D1273B.jpeg
    176 KB · Views: 1
Ulimwambia huyu mhutu wa katoro akajifanya mjuaji kiko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…