Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe la pembeni!dadek Magu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chanzo cha taarifa tuanze hapo maana tangu aenguliwe keshateuliwa marambili sasa ukweli uko wapCAG mstaafu;Musa Asad ameingia mkataba wa miaka mitatu (2019-2022) wa kukagua hesabu zote za fedha za misaada inayotolewa na swedan kwa Tanzania.
....................
Una maoni gani kwa Asad na kwa serikali ya Tanzania?
Ukijua kwao ni Tanga hili hakitakuwepo shida hahaaAssad ni mtu muadilifu ila inamapungufu yake.... Jamaa ni mdini sana...
Karibia wataanza kufuatilia uraia wakeNi mzalendo na mkwli ataifanya kazi yake kwa weledi mkubwa... Japo kuna watu hawajalipenda hili
Tafuta zako acha kupoteza muda kwa shemejiNami nilitamani aje kunipigia hesabu kwenye daladala ya shemeji maana kila siku konda ananiletea hela hazieleweki
Na shida hiyo ni ujingaKwAhyo ukiwa msomi mwerevu hazina ya taifa, serikali chafu ikitaka kukuingia fikra ukikataa katakata ,unakua mdini?.....bongo inashida
Na pengine udini wake na hofu ya Mungu ndo vinampa ujasiri wa kuwa mwadilifuAssad ni mtu muadilifu ila inamapungufu yake.... Jamaa ni mdini sana...
Kwa hiyo wewe hupendi aipende dini yake. Acha roho mbaya weweAssad ni mtu muadilifu ila inamapungufu yake.... Jamaa ni mdini sana...
Hapo kwa mke hapo mmh,Mhuuuu,imekaa vibaya kwaserikali ya Tz,Assad anamke mzuri kwelikweli
udini wake ndio upi eleza hapaAkiacha Udini atawork hata WB
Aliweka kamsikiti kadogo pale kwenye ofisi za CAG.... Msomi kama yeye hakupaswa kuonsha hisia za udini bana...Kwa hiyo wewe hupendi aipende dini yake. Acha roho mbaya wewe
Udini na kuheshimu dini ni vitu viwili tofautiNa pengine udini wake na hofu ya Mungu ndo vinampa ujasiri wa kuwa mwadilifu
Yes ameshaitangaza TZ kuwa ina bunge dhaifu mnooo.
Haiwezi kulingana na uCAG weweee! Jamaa anaumia ujue. U CAG!!!!Ukifunga mlango ule,anafungua huu ili upite,eti mwanafunzi wake ndo akawe mkaguzi hakuna tofauti na kulekwenye fedha alimuweka mwanae
Wewe kweli boya sana unadhani mtu akisoma ndo imani yake inapotea au! Yule ni muislam na anatakiwa kuswali five times a day sasa bila ya kuwa na msikiti karibu ataswali vp.Aliweka kamsikiti kadogo pale kwenye ofisi za CAG.... Msomi kama yeye hakupaswa kuonsha hisia za udini bana...
Ila ni muadilifu...mtu wa kunyoosha
Umemjibu vema, maana kuna watu wanaamini Msomi hana diniWewe kweli boya sana unadhani mtu akisoma ndo imani yake inapotea au! Yule ni muislam na anatakiwa kuswali five times a day sasa bila ya kuwa na msikiti karibu ataswali vp.
Kuna taasisi yoyote ambayo haitumii Auditors kukaguwa mahesabu yao? Were utakuwa kichaa siyo bure.Hahaha vichekesho vingine bana
Ina maana wao Sweden hawajiamini mpaka wahitaji mtu wa tatu kukagua mahesabu yao? Au wanafikiri kwa kufanya hivyo ni kumuumiza Magu? Hahaha wajinga kweli