No. Huyu anamaanisha ukiwa muislam ndio mdini ila ukiwa mkristo sio mdini. Watu hawa ni watu ambao wanauchukia uislam. Hawataki mtu afuata dini yake ya kiislamu kikamilifuKwAhyo ukiwa msomi mwerevu hazina ya taifa, serikali chafu ikitaka kukuingia fikra ukikataa katakata ,unakua mdini?.....bongo inashida