No. Huyu anamaanisha ukiwa muislam ndio mdini ila ukiwa mkristo sio mdini. Watu hawa ni watu ambao wanauchukia uislam. Hawataki mtu afuata dini yake ya kiislamu kikamilifuKwAhyo ukiwa msomi mwerevu hazina ya taifa, serikali chafu ikitaka kukuingia fikra ukikataa katakata ,unakua mdini?.....bongo inashida
Muislam ye yote anaetimiza wajibu wake vizuri ktk dini yake huwa anawapa shida sana sijui kwa nini na lazima mtamwona mdini,ila angekuwa muislam mlevi mlevi asieswali kiujumla asie mwogoa Mungu huyo kwenu ndio muislamu safi kabisa,ila ktk Qoran kuna aya inayotutahadharisha ambayo inayosema "kwamba nyinyi hamwezi kuwa radhi na sisi hadi pale tutakopofuata mila zenu".Akiacha Udini atawork hata WB
Lete source ya habari yako, maana if siku hizi imekuwa haiaminikiCAG mstaafu;Musa Asad ameingia mkataba wa miaka mitatu (2019-2022) wa kukagua hesabu zote za fedha za misaada inayotolewa na swedan kwa Tanzania.
....................
Una maoni gani kwa Asad na kwa serikali ya Tanzania?
Hata hao wanaoamini hivo, nao pia wana dini zao wanazoziabudu maana hamna mwanadamu asiye na dini. Maana dini ni mfumo wa maisha sasa kama mtu akiwa hai anaishi bila shaka kuna mfumo wa maisha ambao anaufuata. Swali linakuja je mfumo huo wa maisha anaoufuata ni sahihi au laah. Hiyo ndo tofauti iliyopo mkuu.Umemjibu vema, maana kuna watu wanaamini Msomi hana dini
Haoni hata aibu kujisifia kuwa anaishi kwa shemeji yakeTafuta zako acha kupoteza muda kwa shemeji
Tanzania inajitangaza yenyewe kwa vituko vyake, ubakaji wa demokrasia umeiweka juu nchi hii kuliko nyinge yoyote Afrika, nchi ni kama malaya yajitembeza hovyo tu,Hongera kwake
Aitangaze vyema Tanzania
Hahaha vichekesho vingine bana
Ina maana wao Sweden hawajiamini mpaka wahitaji mtu wa tatu kukagua mahesabu yao? Au wanafikiri kwa kufanya hivyo ni kumuumiza Magu? Hahaha wajinga kweli
Aliweka kamsikiti kadogo pale kwenye ofisi za CAG.... Msomi kama yeye hakupaswa kuonsha hisia za udini bana...
Ila ni muadilifu...mtu wa kunyoosha
Eti eeAssad ni mtu muadilifu ila inamapungufu yake.... Jamaa ni mdini sana...
Hivi kumbe huwa Ni mdini?Akiacha Udini atawork hata WB
Kuna mtu anatamani agawe kesi ya kuhujumu uchumiNi mzalendo na mkwli ataifanya kazi yake kwa weledi mkubwa... Japo kuna watu hawajalipenda hili
kama watamruhusu aingie ofisi zaoCAG mstaafu;Musa Asad ameingia mkataba wa miaka mitatu (2019-2022) wa kukagua hesabu zote za fedha za misaada inayotolewa na swedan kwa Tanzania.
....................
Una maoni gani kwa Asad na kwa serikali ya Tanzania?
Unawapangia kwenye hela zao kama hamtaki kataeni msaada.Hahaha vichekesho vingine bana
Ina maana wao Sweden hawajiamini mpaka wahitaji mtu wa tatu kukagua mahesabu yao? Au wanafikiri kwa kufanya hivyo ni kumuumiza Magu? Hahaha wajinga kweli
Mwambie dada yako apunguze kuwa gogo hela za daladala zitakuwa nyingi usihofu. Kama akizidiwa take over majukumu ya dada chumbani shemeji atakupandisha cheoNami nilitamani aje kunipigia hesabu kwenye daladala ya shemeji maana kila siku konda ananiletea hela hazieleweki
Ngoja awanyooshe vizuri wale wachumia matumboCAG mstaafu;Musa Asad ameingia mkataba wa miaka mitatu (2019-2022) wa kukagua hesabu zote za fedha za misaada inayotolewa na swedan kwa Tanzania.
....................
Una maoni gani kwa Asad na kwa serikali ya Tanzania?
Nadhani Anakagua matumizi ya hizo pesa hapa bongo kama zimetumika as expectedHahaha vichekesho vingine bana
Ina maana wao Sweden hawajiamini mpaka wahitaji mtu wa tatu kukagua mahesabu yao? Au wanafikiri kwa kufanya hivyo ni kumuumiza Magu? Hahaha wajinga kweli