murutongore
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 2,051
- 638
Mpaka sasa hajapatikana dah
Ova
MadiniIla jamaa anashugulika na biashara gani labda
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka sasa hajapatikana dah
Ova
MadiniIla jamaa anashugulika na biashara gani labda
Ova
Wamchungeze alifanya biashara na watu gani,isije kuwa wamedhulumianaMadini
Hivi kampuni yake ndiyo hiyo mzibaz empire investmentMadini
Hata yule mfanyabiashara mwingine wa huko Kigoma ambaye aliilalamikia TRA kumpora bidhaa zake kule mpaka wa Tunduma naye ilisambazwa taarifa miezi michache iliyopita kwamba eti 'amejipiga risasi na kufa'Hajatapeli. Alitoa clip akiilaumu TRA haitaki kumpa documents Fulani ili akalipwe na Bima. Na alitoa clip hiyo ili Rais wa Nchi aione.
Walimuua watu wakatili sana wanawaua walipa kodi harafu tupo kimya na kujifanya wanafiki kukemea ukatili wa Wazulu...Hata yule mfanyabiashara mwingine wa huko Kigoma ambaye aliilalamikia TRA kumpora bidhaa zake kule mpaka wa Tunduma naye ilisambazwa taarifa miezi michache iliyopita kwamba eti 'amejipiga risasi na kufa'
Ndio.Hivi kampuni yake ndiyo hiyo mzibaz empire investment
Ova
Mke wake anajua....kampuni ni yake na mke wake. Watu siku hizi ni wapigaji.Wamchungeze alifanya biashara na watu gani,isije kuwa wamedhulumiana
Ova
Ok,na hiyo kampuni inafanya clean business ya madiniMke wake anajua....kampuni ni yake na mke wake. Watu siku hizi ni wapigaji.
Not clean.Ok,na hiyo kampuni inafanya clean business ya madini
Ova
hapa lazima ukubali tu, hawezi kuwa haiJii mpaka leo naona
Ova
You what bad, wananchi hao hao watalalamika, zitapota skendo au mechi za simba na yanga watasahau kila kitu.Wananchi tumekuwa kama nyumbu ndani ya Manyara. Ukilala leo hujui kwesho litampata nani na raia tunaona kama ni kawaida tu. Kweli ujinga ni janga.
Huyo sjui kaingia 18 za watu ganihapa lazima ukubali tu, hawezi kuwa hai
Mungu asaidie apatikane salama
Huzuni kubwa
Hii umeipata wapi!!??
X(Twitter)Hii umeipata wapi!!??