Musa Zungu ndiye kirusi cha tozo

Musa Zungu ndiye kirusi cha tozo

Swali:

Km kufuta tozo ni maagizo ya chama na rais, je! kutoza tozo ni maagizo ya nani?

Jawabu: Mzee Zungu

Leo ndio nmepata jawabu
Na hii ni kwa sababu Mwigulu amefikia upeo wa kufikiri! Hana akili tena! Labda amebaki na akili za kuiba fedha na kugharimia Singida Big Star!
 
Hakuna namna ya kukwepa tozo kama tunaitaka Tanzania huru na endelevu
 
Swali:

Km kufuta tozo ni maagizo ya chama na rais, je! kutoza tozo ni maagizo ya nani?

Jawabu: Mzee Zungu

Leo ndio nmepata jawabu
Kwa maana hiyo hatuna serikali tuna kikosi kazi Cha CCM. Jamani amkeni. Hapa ndiyo kipimo Cha watanzania wanapokuwa na hasira. Yaani hata mahakamani watakuja.
Huko mtaani kwa Sasa hivi kutamu. Tozo ya Mchemba na Zungu yaharibu Hali ya hewa.

Mawakili bado wamelala badala ya kusaidia watanzania watambue haki yao. Hapa ndiyo mahakama ingewanyoosha serikali. Mawakili wakiungana nakuipeleka serikali mahakamani kwa hii tozo mbona katiba mpya inapatikana fasta.
 
Basi wewe ni mpumbavu!
Kutukana hakukusadii.
Ukiulizwa swali lakiufaham hapa, huwezi kuja namajibu zaidi ya kujiumauma.

Tozo za miamala ya simu kwangu na kwa wengine nasema hazina athari kubwa kwa sababu miaka 20 iliopita nilikua nakipato duni, nagharama za kutuma pesa Dar to Arusha kupitia Scandinavia ilikua 10% , 500,000tsh ililipiwa 50,000tsh. Hiyo pesa hakuna ilipo lipiwa Kodi, Leo hii 500,000 kulipiwa 10,000 na Kodi umoumo, mnapiga makelele?

Shida hapa naweza kua na jibizana na mtoto wa 2002.
 
Kutukana hakukusiidii.
Ukiulizwa swali lakiufaham hapa, huwezi kuja namajibu zaidi ya kujiumauma.

Tozo za miaka ya simu kwangu na kwa wengine nasema hazina hathari kubwa kwa sababu miaka 20 iliopita nilikua nakipato duni, nagharama za kutuma pesa Dar to Arusha kupitia Scandinavia ilikua 10% , 500,000tsh ililipiwa 50,000tsh. Hiyo pesa hakuna ilipo lipiwa Kodi, Leo hii 500,000 kulipiwa 10,000 mnapiga makelele?

Shida hapa naweza kua na jibizana na mtoto wa 2002.
Pole Mzee! Naomba ulale kwa kuwa hata kudonoa buttons za simu yako shida!
 
Pole Mzee! Naomba ulale kwa kuwa hata kudonoa buttons za simu yako shida


Pole ya Nini kijana? Kweli kubonyeza batani za hii Tecno ni Shida lakini ujumbe unafika. Kuhusu Kulala sio mda wake Nina km 160 mbere yangu kabla yakufikia kitanda.
 
Kutukana hakukusadii.
Ukiulizwa swali lakiufaham hapa, huwezi kuja namajibu zaidi ya kujiumauma.

Tozo za miamala ya simu kwangu na kwa wengine nasema hazina athari kubwa kwa sababu miaka 20 iliopita nilikua nakipato duni, nagharama za kutuma pesa Dar to Arusha kupitia Scandinavia ilikua 10% , 500,000tsh ililipiwa 50,000tsh. Hiyo pesa hakuna ilipo lipiwa Kodi, Leo hii 500,000 kulipiwa 10,000 na Kodi umoumo, mnapiga makelele?

Shida hapa naweza kua na jibizana na mtoto wa 2002.
Peleka huo ugoro huko. Sijui umepata ile kitu ya Arusha au vipi. Toeni na ajira ili tozo iweze kwenda sawa.

Yaani mnakwenda kutoza mpaka hela ya kununulia mtoto kalamu na daftari na ada ya mwanafunzi.

Ni Aibu, aibu aibu.

Hata hela ya kumnunulia mgonjwa dawa? Aiiibu!!!!!!

Tuoneane huruma basi. Zungu wasamehe watanzania duuu.

Mngejua hizo msg za tozo zinavyowakera watu. Msingedhubuti kuliongelea Hilo swala la tozo kabisa.
 
Sawa basi.....issue ya tozo case closed

Tozo zishafutwa,naona bado malalamiko yanaendelea

Ova
 
Tatizo mmekua kama mko sayali nyingine. Cha Arusha sijatumia ila kama kinaitajika nitatumia TU. Wigo wa kupanua Kodi unaitajika , dhungu ameonesha mfano nawewe njo.napendekezo lako.
Hayo.unayo yasema ya mgonjwa sijui ya mwanafunzi ni Bei gani unawatumia ? Wewe umekua nawagonjwa wa kudumu?

Je lengo ni kumtoza mgonjwa?
Hizi Tozo zilikua zinaenda kufuta matumizi ya oplations za ovyo zinazo lenga kukusanya pesa kwa kudhulum.
 
K
Tatizo mmekua kama mko sayali nyingine. Cha Arusha sijatumia ila kama kinaitajika nitatumia TU. Wigo wa kupanua Kodi unaitajika , dhungu ameonesha mfano nawewe njo.napendekezo lako.
Hayo.unayo yasema ya mgonjwa sijui ya mwanafunzi ni Bei gani unawatumia ? Wewe umekua nawagonjwa wa kudumu?

Je lengo ni kumtoza mgonjwa?
Hizi Tozo zilikua zinaenda kufuta matumizi ya oplations za ovyo zinazo lenga kukusanya pesa kwa kudhulum.
Kwa hiyo mwanafunzi akiwa boarding hawezi kuomba msaada wa kalamu au daftari zaidi ya mzazi wake. Hata Kama ni mzazi wake.

Mgonjwa nae hawezi kuomba msaada wa kununua dawa.

Wazee wanahitaji msaada wa hela. Na tunasema wazee na wagonjwa wanahitaji fataja. Wengi ukiwaambia waweke hela ya makato anakwambia Hana.

Una shida Ukomba msaada wa sh 10,000 na ukatumiwa sh 10,000 hiyo hiyo utatoa shilling ngapi? Je kama ni hela ya dawa utakuwa umepata au umekosa?

Naomba unielewe hili swala la tozo limegusa maisha ya watu wengi hasa wale ambao hawana kipato kwa taarifa yako.

Na ukiangalia wanaotumia mitandao ya pesa wengi wanamatatizo. Wenye pesa wanaweka mabenki Kama wewe.
 
Fisadi ana mbinu nyingi za kufanikisha udhalimu wake ikiwa na pamoja na kuwanunua viongozi wakuu kwa fedha haramu!

Kwa hiyo usishangae!
Kwa hiyo kamnunua Samia?maana miswada yote lazima Rais asaini
 
K

Kwa hiyo mwanafunzi akiwa boarding hawezi kuomba msaada wa kalamu au daftari zaidi ya mzazi wake. Hata Kama ni mzazi wake.

Mgonjwa nae hawezi kuomba msaada wa kununua dawa.

Wazee wanahitaji msaada wa hela. Na tunasema wazee na wagonjwa wanahitaji fataja. Wengi ukiwaambia waweke hela ya makato anakwambia Hana.

Una shida Ukomba msaada wa sh 10,000 na ukatumiwa sh 10,000 hiyo hiyo utatoa shilling ngapi? Je kama ni hela ya dawa utakuwa umepata au umekosa?

Naomba unielewe hili swala la tozo limegusa maisha ya watu wengi hasa wale ambao hawana kipato kwa taarifa yako.

Na ukiangalia wanaotumia mitandao ya pesa wengi wanamatatizo. Wenye pesa wanaweka mabenki Kama wewe.
Hakuna Kodi nyepesi kulipika. Umeongea kwa hisia Kari kiasi kidogo unishawishi.

Kuna watu hawatumi ,pesa wao nikupokea TU nao wanalalamikia tozo. Hii sio sawa.

Hata huko Bank 🏧 Nako Tozo ilifika.
Japo ninteja wa bank lakini kipato change ni chakawaida.

Na Bank hakuna njia ya mkato. Huku kwenye mitandao walio wengi walisha buni mbinu ya kukimbia Tozo. Ambapo mbinu hizo zililenga KUSAIDIA hayo makundi unayo taja .

Nikituma kwa mwanafunzi na pewa lipa namba. Nikituma kwa mgonjwa hivyohivyo. Je wewe hii hukuijua?
 
Hili jitu silipendi kweli kweli walahi [emoji35]
Mwenye Enzi Mungu nisamehe jamani uwiii!
 
Hakuna Kodi nyepesi kulipika. Umeongea kwa hisia Kari kiasi kidogo unishawishi.

Kuna watu hawatumi ,pesa wao nikupokea TU nao wanalalamikia tozo. Hii sio sawa.

Hata huko Bank 🏧 Nako Tozo ilifika.
Japo ninteja wa bank lakini kipato change ni chakawaida.

Na Bank hakuna njia ya mkato. Huku kwenye mitandao walio wengi walisha buni mbinu ya kukimbia Tozo. Ambapo mbinu hizo zililenga KUSAIDIA hayo makundi unayo taja .

Nikituma kwa mwanafunzi na pewa lipa namba. Nikituma kwa mgonjwa hivyohivyo. Je wewe hii hukuijua?
Kwani waliopita waliendesha je nchi au serikali bila tozo?Duniani hakuna hiki kituko unachoandika hapa. Haina tofauti na Kodi ya kichwa. Ni upuuzi m.tupu

Tuwaulize waliomweka Nia yao ilikuwa ni Nini? Kama ni kisimamia mapato na kumshauri Rais bila kubughudhi raia watajua wenyewe.

Kama ni michango mchangiaji akubali sio alazimishwe. Akitaka kufanya kitu halafu kwa malipo ya mtandao nyinyi mnakata, hata Kama anatoa msaada. Huu tunasema ni ushetani kabisa. Ni Kama mtu anatembea barabarani anatokea mtu mbele yake anamzuia asiendelee

Naomba unielewe hii tozo inawasaidia je wasio na kipato, (masikini) wagonjwa, Yatima, walemavu, watoto na wazee. Kwa sababu Asilimia kubwa haya makundi yanatumia malipo ya mtandao kupokea msaada

Umesema hii tozo inawasaidia haya makundi tusaidie kufafanua zaidi.

Tujiulize mimi na wewe serikali ilishawahi kuwanunulia wasio na kipato, Wazee, Yatima, watoto au wagojwa chakula au msaada wowote wapate kuishi? Wanaomba msaada sio, na nyinyi mnamkata. Tuache kutiana ujinga wa Zungu na mungulu.

Je Kuna huduma huyu mtoto anapata akiwa shuleni?

Je Kuna huduma mgonwa anapata akiwa hospital au anapojiuguza akiwa mahali popote hapa Tanzania?

Zahanati yenyewe ukienda kupata kile kadi umwone daktari ni pesa.

Huyu Yatima serikali inamjali vipi atimize ndoto zake serikali ikiwa Kama mlezi. Hawa watu hawana Hali ya kutunzwa kwa mkono wa serikali kweli?

Wazee wamelitumikia Taifa hajui suti ni mdudu gani Leo kachoka anategemea watoto tena Kama anao wenye uwezo na wajukuu na ndugu. Leo hii anapewa hell ya sukari Madilu anakata. Inatia hasira Sana.

Tuombe huyu Jamaa ajiuzulu tu ili tunusuru maisha ya wengine.
 
Back
Top Bottom