St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,956
- 5,149
Zungu alikuwa na hoja nzuri sana kuhusu Tozo.. Shida imekuja baada ya Tozo kuanza kukusanywa.. Hakuna kinachofanyika pamoja na makusanyo yote.. Miradi ya maendeleo imesimama.. Hakuna Miradi mipya.. Ndio maana wananchi wanalalamika.. Hakuna uwazi katika makusanyo.. Mazingira ya wizi ni makubwa sana katika Tozo.. TOZO NI WIZI..