Musa Zungu ndiye kirusi cha tozo

Musa Zungu ndiye kirusi cha tozo

Ndiyo aliyeleta mswaada wa tozo Bungeni? Utawala (Executive) ndio wakulaumiwa hafu ujue tu Muswaada wowote lazima ujadiliwe na Baraza la mawaziri ambapo Chair ni President unataka kuniambia Zungu kaiweka serikali yote mfukoni?
Bado hachomoki katika kuchangia mateso haya kwa raia wa kipato cha chini. Ikiwa tuu yeye ndio aliibua upupu huu na kuungwa mkono na watu wa design yake .
 
Hakika Zungu ni kirusi! Sasa hivi anataka tozo zingine kwenye data za internet!

Dua zenu waungwana apendwe zaidi asiendelee kutuletea majanga!
 
Kabla ya Jambo Hilo kujadiliwa by the so called cabinet mzizi au msingi wa Jambo Hilo ulitolewa bungeni na bwana Zungu akiita ni Kodi ya uzalendo! Bwana Mwigulu akalipeleka wizarani kwake na baadae kwenye cabinet likapata baraka na likawa muswada!
Kama haitoshi huoni ni Zungu huyu huyu amemshauri Nape awasiliane na TCRA ili bundle zipande Bei mpaka GB 1 kwa angalau 5000?
Lakini Ndani yake kutakua na Nia ovu ya kufinya wigo wa mawasiliano na kupashana habari kwani watu sasa wengi tubashana habari kwa njia za kidijitali zinazotegemea Data!
Nia ovu hiyo tunasema ni inderict suppression of freedom of press and information. So tutajua hali halisi ya mambo yanavyoenda nchini kwa njia wanazotaka wao na sio kwa njia ya internet ambapo Data ndio kiwezeshi! Huyu mzee ni janga
Ndiyo aliyeleta mswaada wa tozo Bungeni? Utawala (Executive) ndio wakulaumiwa hafu ujue tu Muswaada wowote lazima ujadiliwe na Baraza la mawaziri ambapo Chair ni President unataka kuniambia Zungu kaiweka serikali yote mfukoni?
 
Kabla ya Jambo Hilo kujadiliwa by the so called cabinet mzizi au msingi wa Jambo Hilo ulitolewa bungeni na bwana Zungu akiita ni Kodi ya uzalendo! Bwana Mwigulu akalipeleka wizarani kwake na baadae kwenye cabinet likapata baraka na likawa muswada!
Kama haitoshi huoni ni Zungu huyu huyu amemshauri Nape awasiliane na TCRA ili bundle zipande Bei mpaka GB 1 kwa angalau 5000?
Lakini Ndani yake kutakua na Nia ovu ya kufinya wigo wa mawasiliano na kupashana habari kwani watu sasa wengi tubashana habari kwa njia za kidijitali zinazotegemea Data!
Nia ovu hiyo tunasema ni inderict suppression of freedom of press and information. So tutajua hali halisi ya mambo yanavyoenda nchini kwa njia wanazotaka wao na sio kwa njia ya internet ambapo Data ndio kiwezeshi! Huyu mzee ni janga
Zungu ni mpumbavu na mjinga! Hivi hafahamu kuwa hata vijana wetu wanatumia internet kujiongezea maarifa!
 
Yaani tuna Wabunge wa ovyo na pia tuna Waiziri wa Fefha wa ovyo kwenye awamu hii.
 
Back
Top Bottom