Museveni ameweza kilichowashinda marais wengi wa kiafrika. Atunga sheria rasmi ya ushoga

[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji30] [emoji30] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Mmmmh, mbn unatetea

Au nawe ndo walewale NIMEWAZA TU
 
Mshana...
kama utakumbuka kuna wimbo moja maarufu wa kitoto unaitwa 'alfola '
Badar salama alfola imekufa imebakia mafupa...
Wamo vidosho na mabazazi humo humo kwa wakubwa unadhani watakubali hilo kutoka?
misaada gani yenye maasharti ya ajabu ajabu!
Ukijiamini unafanya, ndilo Mhe.Mseveni alichofanya
 
Huo ni uongo wa kutupwa kabisa.Bado unahitaji kujua mengi sana ili uelewe jambo hii.
soma hata jina lako mwenyewe linadhihirisha hujui unachokitetea,tatizo sisi huwa wepesi wakutoa judgement kabla ya kutafuata ukweli wenyewe
 
soma hata jina lako mwenyewe linadhihirisha hujui unachokitetea,tatizo sisi huwa wepesi wakutoa judgement kabla ya kutafuata ukweli wenyewe

Kama kweli unajua unachokisema,jibu swali hili;

Vipimo vya HIV vinatumia mechanism gani kujua kwamba mtu ana huyo HIV?Usilete siasa,jibu hili swali.Jibu halisi la hili swali ndio mtego uliowafanya wewe na wengine mdanganyike.
 
Kama kweli unajua unachokisema,jibu swali hili;

Vipimo vya HIV vinatumia mechanism gani kujua kwamba mtu ana huyo HIV?Usilete siasa,jibu hili swali.Jibu halisi la hili swali ndio mtego uliowafanya wewe na wengine mdanganyike.
sijakuelewa rudia swali lako,usiongee kwa hasira haya mambo niyakuwekana sawa,kama hujui hujui tu
 
i support your idea, this's more mind blinded that shake their head, they must fight first against, rushwa, jobless, salama, etc,, ushoga? what's this? while people are killed by alchool!
 
sijakuelewa rudia swali lako,usiongee kwa hasira haya mambo niyakuwekana sawa,kama hujui hujui tu

Mashoga wengi tena sana wapo mafichoni ,hususan hizi nchi za kikatili ,iweje takwimu ipatikane kirahisi hivyo?..........fikiria.
Ingelikua kule Ulaya basi ntaamini 42% MSM lakini hapo Afrika ulipo wanaoogoza kwa takwimu za maambukizi ni MSF/FSM, yaani heterosexual.
Acha kupotosha umma.
 
notohsje umma wakati wewe umeshindwa kuleta data zako unaleta data za kudhania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…