Ochu
JF-Expert Member
- May 13, 2008
- 976
- 47
Mrs Janet Museveni ni mbunge wa jimbo la Ruhaama tena kwa kugombea (alipata ushindi wa kishindo)na si kuteuliwa.Anazo sifa stahiki kupata huo uwaziri.
Inataka moyo hata hivyo kwa Rais kufumba macho na kumpa nafasi mkewe maana kibinadamu watu lazima wataweka maswali na manung'uniko.
Tumpe hongera zake tu.
conflict of interest...power corrupts and absolute power corrupt absolutely!!!