ya Mugabe yanamnyemeleaMaandamano haramu yameshaanza katika viunga mbalimbali vya mji wa Kampala huku Askari wa kutuliza ghasia wakiwa watazamaji tu.
Naiomba serikali yangu ifanye kila liwezekanalo ili kuisaidia Serikali ya Museveni.
Hali hii ikiachwa Uganda itaingia kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe.
mama G unajielewa, nimekulove ghafla#Musevenmustgo
Museveni ameyataka mwenyewe. Narudia amelikoroga mwenyewe. Na apambane na haki yake.Maandamano haramu yameshaanza katika viunga mbalimbali vya mji wa Kampala huku Askari wa kutuliza ghasia wakiwa watazamaji tu.
Naiomba serikali yangu ifanye kila liwezekanalo ili kuisaidia Serikali ya Museveni.
Hali hii ikiachwa Uganda itaingia kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe.
Utamsaidiaje mzee mjinga anayeua si watu wake tu bali hata askari wanaojitambua?Maandamano haramu yameshaanza katika viunga mbalimbali vya mji wa Kampala huku Askari wa kutuliza ghasia wakiwa watazamaji tu.
Naiomba serikali yangu ifanye kila liwezekanalo ili kuisaidia Serikali ya Museveni.
Hali hii ikiachwa Uganda itaingia kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe.
Mbona tayari tunao wakimbizi wa Burundi na Rwanda tumeishi nao miaka na miakaHuoni kama mamilioni ya wakimbizi wataingina kwenye taifa letu la amani.
acha muuaji atolewe weweHuoni kama mamilioni ya wakimbizi wataingina kwenye taifa letu la amani.
Your wiseMods mnamwacha huyu mpumbavu analeta Uzi wa kijinga hapa?kwa hiyo unataka Tanzania ipeleke jeshi kuua raia wanaodai haki zao? jinga kweli wewe boya,nguvu ya umma inazidi jeshi la nyuklia,museveni ataondoka kisha atafuatia Dikteta Magufuli.