Getang'wan
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 3,076
- 3,416
Tupo pamoja lakini ni alarm call [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuu tupendane bhana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo pamoja lakini ni alarm call [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuu tupendane bhana
Acha utani basi.....si apige yowe majirani watoke?Museveni aahirisha kuongea na taifa atimkia China kuomba msaada.
Lipi Taifa la amni.Huoni kama mamilioni ya wakimbizi wataingina kwenye taifa letu la amani.
Uganda si kisiwa cha tanzania. And yes hayatuhusu.. ni wao na siasa zao. Nakushangaa unavyohangaika wkt serikal ya tz imekaa kimya.Kamwe hatuwezi tukaiacha nchi ya Uganda iangamie.
Mods mnamwacha huyu mpumbavu analeta Uzi wa kijinga hapa?kwa hiyo unataka Tanzania ipeleke jeshi kuua raia wanaodai haki zao? jinga kweli wewe boya,nguvu ya umma inazidi jeshi la nyuklia,museveni ataondoka kisha atafuatia Dikteta Magufuli.
Unajua hapa JF kuna watu wa Mataifa tofauti, hii ni jumuia ya Africa Mashariki.Mkuu waulize walibya sio mimi.
Acha povu!Mods mnamwacha huyu mpumbavu analeta Uzi wa kijinga hapa?kwa hiyo unataka Tanzania ipeleke jeshi kuua raia wanaodai haki zao? jinga kweli wewe boya,nguvu ya umma inazidi jeshi la nyuklia,museveni ataondoka kisha atafuatia Dikteta Magufuli.