Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sielewi lengo lako ni nini maana unatuletea video na picha za zamani.View attachment 863897
Vijana wetu tuwasogeze mtukula ili wawe tayari Kutoa msaada wa kiulinzi dhidi ya choko choko za Kenya.
Hakuna cha kikundi wala nn. Hii ni kwamba wananchi walichoka na matukio yanayotokea kuuwawa ama kudhuriwa kwa watu ambao wananchi walikuwa wanatarajia wawakilishwe. Huku mhe rais amekaa kimya tu?Nimeshasema tena na tena wanachochewa na vikundi fulani mbona hutaki kunielewa.
Tena wewe ndo unatakiwa ufunge mdomo kabisa manake una kimbelembele sana cha kumtetea Jiwe. Andika waraka kwa Jiwe ajipange na yeye. Uonevu una mwisho wake. Nchi hii tumekuwa wakimbizi sasa. Kila kukicha ni matisho na kebehi tu. Hatupati usingiziKumbuka nchi yetu imezidiwa na wageni katika kila watanzania kumi watatu ni wageni.
Unakuja kulialia nini huku. Weka fasta ukurasa wa mbele Tanzanite na Jamvi la habari.Maandamano haramu yameshaanza katika viunga mbalimbali vya mji wa Kampala huku Askari wa kutuliza ghasia wakiwa watazamaji tu.
Naiomba serikali yangu ifanye kila liwezekanalo ili kuisaidia Serikali ya Museveni.
Hali hii ikiachwa Uganda itaingia kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe.
Mwenzio akinyolewa, wewe tia maji.Nasikia kuna baadhi ya vituo vya polisi vimezingirwa na wafuasi wa Besigye.
dogo tuache wanaume tujadili critical issues hapamama G unajielewa, nimekulove ghafla
sasa unachangia kama mwanaumehili nimeliongea sana, kwetu ni suala la muda tu
Wewe jamaa hujui lolote. Piga kimyaView attachment 863897
Vijana wetu tuwasogeze mtukula ili wawe tayari Kutoa msaada wa kiulinzi dhidi ya choko choko za Kenya.
Inasemekana ni mwanaeMku wa majeshi ni ndugu yake museveni. Na huyu wakati anapandishwa cheo alikuwa askari mwenye cheo cha kawaida tu.
Nakumbuka ilileta maswali mengi sana, lakin kumbe ni ktk kujilinda