Museveni is very ill and admitted in a hospital here in Nairobi

Status
Not open for further replies.
Hv nyie Covid mliiona wapi?hamuoni kama kuna watu na njama zao za kuondoa wengine ili nao wale?Covid iache watu uswahilini ikaue Rais?
 
Lakini alichanjwa.
Naomba ili suala tulijadili kwa hoja na ukwlei badala ya ushabiki.
Uganda,
India,
Seychelss,
Chile,
Israel,
N.k, ni sehemu sahihi ambako human test, imeonyesha majibu tofauti na mategemeo ya wengi. Kwamba baada ya kuwachanj watu ndipo kumekuwa na unprecented outbreak. Mwenye akili afahamu.
 
Kwa hiyo kwa jirani Sasa hivi ni mwendo wa leta kitimoto nusu na ugali 6 bila kusahau pilipili mbuzi 94.Chuma kikoli moto.
 
Ugonjwa gani wa kuja msimu msimu? Yaan wanapumzika kidogo basi wanauleta unasambazwa mbona tangu mwezi wa 3 haukuwepo? Unerudi tena?

Sikatai kuwa covid haipo ila ni ya kuleta ili kufanikisha mambo fulani kisiasa.

Umbea mtaani umezagaa kuwa kuna watu wanalipwa.yetu macho. Juzi uganda majeneza yalikuwa tupu.
 
Muhoozi amedanja?
 
Katika pitapita zangu YouTube nikifuatilia yanayoendelea Duniani, bila kusahau ubuyu wa Eswatini 😅, ... mara naanza kukutana na hizi tetesi za Uganda!


Nikaamua kupekuapekua mara



MWENYE HABARI ZA UHAKIKA TAFADHALI HABARISHA UMMA!

TULIO MU'ATARI! 😱
 
Ukifatilia sana Corona utagundua ni zengwe tu

Sasa huyu mzee si alishapata chanjo tena first shot na second shot sasahivi inasemekana anaumwa covid-19 yupo hoi sasa chanjo vipi tena??

Picha, akipokea first shot na second shot[emoji1313][emoji1313]View attachment 1837566View attachment 1837567
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…