Museveni: Kuna nchi wanaita watu wawekeze na wakodi hadi maliasili zao

Museveni: Kuna nchi wanaita watu wawekeze na wakodi hadi maliasili zao

Chura Kiziwi atakuwa anarembua na macho yake Yale anasema iiiiiiiiii na hili mkalitazame vizuri
 
Huyu Mtu kwake ndio Kiongozi aliyefeku kuliko Wote.

Sasa hivi anajitahidi kuongea maneno matamu kwa sababu anamwandalia Mwanaye Kiti Cha Urais..Raia wasiokuwa na akili tu ndio watamwamini.
Mkuu ni ya kweli hayo unayo ongea? Ama haya maneno na kauli ya Mseveni yamekutoa UFAHAMU! Yaani unataka kutuanbia Idd Amin Dadah alikuwa bora sana kuliko huyu BWANA! Ni vyema tuka elimishana vizuri na ya ukweli humu JF na sio ushabiki.
 
Samia analiaibisha taifa letu, tunahurumiwa na majirani huku sisi wenye nchi tukiendelea kumtazama tu anavyozidi kutoa bure rasilimali zetu.
 
Huyu Mtu kwake ndio Kiongozi aliyefeku kuliko Wote.

Sasa hivi anajitahidi kuongea maneno matamu kwa sababu anamwandalia Mwanaye Kiti Cha Urais..Raia wasiokuwa na akili tu ndio watamwamini.
Hoja hupingwa kwa hoja! Pangua hoja zake kwa hoja badala ya kumshambulia mtoa hoja.
 
Yaani mpaka huyu jamaa anaona upuuzi unaofanyika nchini? That's why wamama wa nyumbani hawatakiwi kuwa viongozi wa taifa, sababu hata kiongozi wa familia ni baba.

Huu uongozi uliingia kimakosa, ni accidental leadership. Wananchi wamejifunza, hili litakuwa somo la kutokuja kuweka kiongozi mwingine mwanamke. Mwanamke hata awe Rais wa nchi, bado atabaki kuwa sentimental, emotional driven na illogical. Hajui cha kufanya bila ya maelezo ya mwanaume. Haijalishi maelezo ni mabaya au mazuri.

Na naamini watanzania wenye akili mahali fulani wanajua cha kufanya. Hakuna jinsi zaidi ya kuweka mtu mwengine.

This was a big international mistake. Probably an intentional one for someone's selfish benefits.
 
Tulipokua msituni, tulisema tunapambana kwenda kulinda kila kitu cha nchi yetu,
Maneno ya Rais museven akiongea na vijana wa NRM, katika karamu ya jioni iliyoandaliwa ikulu,
Utajiri wa waganda ni rasilimali na ndio maana nimeweka sheria kali kwenye copper, dhahabu hakuna kuja kujichotea na kutokomea lazima iwe win win business ili kizazi cha kesho kipate mali ya kurithi kuliko kugawia mali ya wajukuu wangu Kwa watu baki,
Viongozi wengi waliacha vita katika nchi zao, Kwa kuchezea maliasili bila kutumia akili,
Kuna nchi wao huita wakoloni eti wawekezaji na wanagawa kila kitu chao ambacho ni maliasili yao Kwa mikataba mibovu kwelikweli hadi inauma,
Vijana wakacheka, akawaeleza msicheke unajua hawa wezi wa mali zetu, walipotoka kule kugawiwa mali, walinifuata na mimi wakasema mbona wenzako wamekubali Kwa mikataba ya aina hii, kwanza niliumia sana hao wenzangu kukubali mambo ya kijinga vile ambayo hata kichaa hawezi kukubali.
Sasa unawaza hawa wanagawaje hovyo maliasili zao burebure hivi wakati wao wapo duniani, ? Ina maana haikuwepo sababu ya wao kua hai Wala kuishi,
Sio muda mrefu tutakwenda kua na bajeti kushinda nchi zote ukanda huu, na bajeti yetu inafanya vizuri maana pesa inakwenda ilipopangiwa ndio maana maendeleo hapa Uganda yanakimbia sana kuliko kawaida,
Kwenye mafuta, vijana msihofu maana walileta ujanja, nikasitisha kwanza na kuoeleka watu shuleni nje huko walipomaliza kupata utaalamu duniani kote wa mafuta ndio wakaja tukaweka mikataba na mambo yako vizuri.
Vijana wa NRM ninyi ni taifa la leo na kesho sisi ni taifa la jana, hivo mkae mkijua mna jukumu la kuilinda amani ya nchi na kulinda rasilimali za nchi kama desturi ya chama chetu.
Maneno hayo ya General Museven akiongea na vijana wa chama chake cha NRM
Nimeipenda na aione chiembe na ChoiceVariable
 
Huyu Mtu kwake ndio Kiongozi aliyefeku kuliko Wote.

Sasa hivi anajitahidi kuongea maneno matamu kwa sababu anamwandalia Mwanaye Kiti Cha Urais..Raia wasiokuwa na akili tu ndio watamwamini.
Kama kitu hujui, kaa kimya! Wapi kakosea?
 
Back
Top Bottom