Museveni: Kuna nchi wanaita watu wawekeze na wakodi hadi maliasili zao

Museveni: Kuna nchi wanaita watu wawekeze na wakodi hadi maliasili zao

Ukiona kichaa kamuona kichaa mwenzake, yuko mtupu na akamwambia. Jua kichaa aliyemtupu ni kichaa kisichopona.

Babu Museven ana mabaya yake mengi, ila hata saa mbovu, kuna wakati inasoma majira sawasawa. Bora sasa hata majirani wanaona na kutucheka, huwezi kuuza, kuweka mikataba ya hovyo, Rasilimali ni urithi wa vizazi na vizazi kwa kujifaidisha kundi la watu wachache.

Hii nchi itafikia mahala, kila unapotaka kukanyaga, unaambiwa hili ni eneo la Mfalme, nchi fulani huku uko nchini mwako. Miaka hiyo itafika na itakuwa too late. Endeleeni kushabikia kwa kupewa vihela mbuzi, ila iko siku mtakuwa wakimbizi kwenye nchi yenu wenyewe.
Aisee,mbona umenitisha? Halafu naona kweli nakaribia huko,Mungu aepushie mbali, na atuepushe na watu hao, na awaguse miili au mioyo yao, wasiweze kamwe, Aamin.
 
Mamba annampigia kelele Chura kiziwi asipande huko anapanda atadondoka.
Chura kiziwi hasikii.
 
Tulipokua msituni, tulisema tunapambana kwenda kulinda kila kitu cha nchi yetu,

Maneno ya Rais museven akiongea na vijana wa NRM, katika karamu ya jioni iliyoandaliwa ikulu,

Utajiri wa waganda ni rasilimali na ndio maana nimeweka sheria kali kwenye copper, dhahabu hakuna kuja kujichotea na kutokomea lazima iwe win win business ili kizazi cha kesho kipate mali ya kurithi kuliko kugawia mali ya wajukuu wangu Kwa watu baki,

Viongozi wengi waliacha vita katika nchi zao, Kwa kuchezea maliasili bila kutumia akili,

Kuna nchi wao huita wakoloni eti wawekezaji na wanagawa kila kitu chao ambacho ni maliasili yao Kwa mikataba mibovu kwelikweli hadi inauma,

Vijana wakacheka, akawaeleza msicheke unajua hawa wezi wa mali zetu, walipotoka kule kugawiwa mali, walinifuata na mimi wakasema mbona wenzako wamekubali Kwa mikataba ya aina hii, kwanza niliumia sana hao wenzangu kukubali mambo ya kijinga vile ambayo hata kichaa hawezi kukubali.

Sasa unawaza hawa wanagawaje hovyo maliasili zao burebure hivi wakati wao wapo duniani, ? Ina maana haikuwepo sababu ya wao kua hai Wala kuishi,

Sio muda mrefu tutakwenda kua na bajeti kushinda nchi zote ukanda huu, na bajeti yetu inafanya vizuri maana pesa inakwenda ilipopangiwa ndio maana maendeleo hapa Uganda yanakimbia sana kuliko kawaida,
Kwenye mafuta, vijana msihofu maana walileta ujanja, nikasitisha kwanza na kuoeleka watu shuleni nje huko walipomaliza kupata utaalamu duniani kote wa mafuta ndio wakaja tukaweka mikataba na mambo yako vizuri.

Vijana wa NRM ninyi ni taifa la leo na kesho sisi ni taifa la jana, hivo mkae mkijua mna jukumu la kuilinda amani ya nchi na kulinda rasilimali za nchi kama desturi ya chama chetu.

Maneno hayo ya General Museven akiongea na vijana wa chama chake cha NRM
Pamoja na udikteta wake lakini Museven ni rais mwenye maono ya mbali sana juu ya nchi yake. Hauqezi amini hawa ji miongoni mwa wanafunzi wa Nyerere na kinachoendelea nyumbani hapa roho lazima iume.
 
Tulipokua msituni, tulisema tunapambana kwenda kulinda kila kitu cha nchi yetu,

Maneno ya Rais museven akiongea na vijana wa NRM, katika karamu ya jioni iliyoandaliwa ikulu,

Utajiri wa waganda ni rasilimali na ndio maana nimeweka sheria kali kwenye copper, dhahabu hakuna kuja kujichotea na kutokomea lazima iwe win win business ili kizazi cha kesho kipate mali ya kurithi kuliko kugawia mali ya wajukuu wangu Kwa watu baki,

Viongozi wengi waliacha vita katika nchi zao, Kwa kuchezea maliasili bila kutumia akili,

Kuna nchi wao huita wakoloni eti wawekezaji na wanagawa kila kitu chao ambacho ni maliasili yao Kwa mikataba mibovu kwelikweli hadi inauma,

Vijana wakacheka, akawaeleza msicheke unajua hawa wezi wa mali zetu, walipotoka kule kugawiwa mali, walinifuata na mimi wakasema mbona wenzako wamekubali Kwa mikataba ya aina hii, kwanza niliumia sana hao wenzangu kukubali mambo ya kijinga vile ambayo hata kichaa hawezi kukubali.

Sasa unawaza hawa wanagawaje hovyo maliasili zao burebure hivi wakati wao wapo duniani, ? Ina maana haikuwepo sababu ya wao kua hai Wala kuishi,

Sio muda mrefu tutakwenda kua na bajeti kushinda nchi zote ukanda huu, na bajeti yetu inafanya vizuri maana pesa inakwenda ilipopangiwa ndio maana maendeleo hapa Uganda yanakimbia sana kuliko kawaida,
Kwenye mafuta, vijana msihofu maana walileta ujanja, nikasitisha kwanza na kuoeleka watu shuleni nje huko walipomaliza kupata utaalamu duniani kote wa mafuta ndio wakaja tukaweka mikataba na mambo yako vizuri.

Vijana wa NRM ninyi ni taifa la leo na kesho sisi ni taifa la jana, hivo mkae mkijua mna jukumu la kuilinda amani ya nchi na kulinda rasilimali za nchi kama desturi ya chama chetu.

Maneno hayo ya General Museven akiongea na vijana wa chama chake cha NRM
Huwa nasema humu kuwa tz tumekamatwa na Raia feki ni mkakati mkuu haswa wa kuakikisha africa inakuwa chini ya raia feki.... wao ndiyo watakamata kila kitu hadi serikali...chakushangaza anatokea mtu kama magufuli anataka kuibomoa hiyo code ...wanatokea wapumbavu wa ccm na chadema wanampinga ...sasa ujiulize watu wenye upeo duni kiasi icho cha kuitambua dunia wanaweza kuongoza kweli.
 
Tulipokua msituni, tulisema tunapambana kwenda kulinda kila kitu cha nchi yetu,

Maneno ya Rais museven akiongea na vijana wa NRM, katika karamu ya jioni iliyoandaliwa ikulu,

Utajiri wa waganda ni rasilimali na ndio maana nimeweka sheria kali kwenye copper, dhahabu hakuna kuja kujichotea na kutokomea lazima iwe win win business ili kizazi cha kesho kipate mali ya kurithi kuliko kugawia mali ya wajukuu wangu Kwa watu baki,

Viongozi wengi waliacha vita katika nchi zao, Kwa kuchezea maliasili bila kutumia akili,

Kuna nchi wao huita wakoloni eti wawekezaji na wanagawa kila kitu chao ambacho ni maliasili yao Kwa mikataba mibovu kwelikweli hadi inauma,

Vijana wakacheka, akawaeleza msicheke unajua hawa wezi wa mali zetu, walipotoka kule kugawiwa mali, walinifuata na mimi wakasema mbona wenzako wamekubali Kwa mikataba ya aina hii, kwanza niliumia sana hao wenzangu kukubali mambo ya kijinga vile ambayo hata kichaa hawezi kukubali.

Sasa unawaza hawa wanagawaje hovyo maliasili zao burebure hivi wakati wao wapo duniani, ? Ina maana haikuwepo sababu ya wao kua hai Wala kuishi,

Sio muda mrefu tutakwenda kua na bajeti kushinda nchi zote ukanda huu, na bajeti yetu inafanya vizuri maana pesa inakwenda ilipopangiwa ndio maana maendeleo hapa Uganda yanakimbia sana kuliko kawaida,
Kwenye mafuta, vijana msihofu maana walileta ujanja, nikasitisha kwanza na kuoeleka watu shuleni nje huko walipomaliza kupata utaalamu duniani kote wa mafuta ndio wakaja tukaweka mikataba na mambo yako vizuri.

Vijana wa NRM ninyi ni taifa la leo na kesho sisi ni taifa la jana, hivo mkae mkijua mna jukumu la kuilinda amani ya nchi na kulinda rasilimali za nchi kama desturi ya chama chetu.

Maneno hayo ya General Museven akiongea na vijana wa chama chake cha NRM
Alikuwa anaisema Tanzania wazi wazi, hakuna mtu hapa Afrika mashariki asiyejuwa hili. Inauma sana, rais tunaye lakini wapi, yupo kimya tu kama haoni wala kusikia.
 
Ukiona kichaa kamuona kichaa mwenzake, yuko mtupu na akamwambia. Jua kichaa aliyemtupu ni kichaa kisichopona.

Babu Museven ana mabaya yake mengi, ila hata saa mbovu, kuna wakati inasoma majira sawasawa. Bora sasa hata majirani wanaona na kutucheka, huwezi kuuza, kuweka mikataba ya hovyo, Rasilimali ni urithi wa vizazi na vizazi kwa kujifaidisha kundi la watu wachache.

Hii nchi itafikia mahala, kila unapotaka kukanyaga, unaambiwa hili ni eneo la Mfalme, nchi fulani huku uko nchini mwako. Miaka hiyo itafika na itakuwa too late. Endeleeni kushabikia kwa kupewa vihela mbuzi, ila iko siku mtakuwa wakimbizi kwenye nchi yenu wenyewe.
Nasikitishwa sana na wapumbavu wachache wanaomshabikia mwanasiasa anayepita. Hii nchi ni yetu sote... Rasilimali zilizopo ni kwaajili yetu na vizazi vijavyo. Inasikitisha sana mkuu
 
Tulipokua msituni, tulisema tunapambana kwenda kulinda kila kitu cha nchi yetu,

Maneno ya Rais museven akiongea na vijana wa NRM, katika karamu ya jioni iliyoandaliwa ikulu,

Utajiri wa waganda ni rasilimali na ndio maana nimeweka sheria kali kwenye copper, dhahabu hakuna kuja kujichotea na kutokomea lazima iwe win win business ili kizazi cha kesho kipate mali ya kurithi kuliko kugawia mali ya wajukuu wangu Kwa watu baki,

Viongozi wengi waliacha vita katika nchi zao, Kwa kuchezea maliasili bila kutumia akili,

Kuna nchi wao huita wakoloni eti wawekezaji na wanagawa kila kitu chao ambacho ni maliasili yao Kwa mikataba mibovu kwelikweli hadi inauma,

Vijana wakacheka, akawaeleza msicheke unajua hawa wezi wa mali zetu, walipotoka kule kugawiwa mali, walinifuata na mimi wakasema mbona wenzako wamekubali Kwa mikataba ya aina hii, kwanza niliumia sana hao wenzangu kukubali mambo ya kijinga vile ambayo hata kichaa hawezi kukubali.

Sasa unawaza hawa wanagawaje hovyo maliasili zao burebure hivi wakati wao wapo duniani, ? Ina maana haikuwepo sababu ya wao kua hai Wala kuishi,

Sio muda mrefu tutakwenda kua na bajeti kushinda nchi zote ukanda huu, na bajeti yetu inafanya vizuri maana pesa inakwenda ilipopangiwa ndio maana maendeleo hapa Uganda yanakimbia sana kuliko kawaida,
Kwenye mafuta, vijana msihofu maana walileta ujanja, nikasitisha kwanza na kuoeleka watu shuleni nje huko walipomaliza kupata utaalamu duniani kote wa mafuta ndio wakaja tukaweka mikataba na mambo yako vizuri.

Vijana wa NRM ninyi ni taifa la leo na kesho sisi ni taifa la jana, hivo mkae mkijua mna jukumu la kuilinda amani ya nchi na kulinda rasilimali za nchi kama desturi ya chama chetu.

Maneno hayo ya General Museven akiongea na vijana wa chama chake cha NRM
Museven hana la kutueleza, aanze na kuboresha kwanza kwake
 
Huyu ana lake..
Ila inauma kweli.
 
Back
Top Bottom