Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
"nisipotangazwa mshindi sitakubali,tutafanya maandamano yasiyokoma"Tundu
kwani Lissu alishindwa ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani Lissu alishindwa ?
Huyo dikiteeta keshachokwa na wananchi wa UgandaHuyu mzee tulimuonya tangu mapema sana kwamba miaka aliyoingoza Uganda inatosha , mwaka ujao asigombee tena , kwa bahati mbaya sana akapuuza...
Kenyatta aliwaonya alisema uchaguzi siyo vita hivyo wanatakiwa wawasaidie vijana kuingia kwenye siasa badala ya kuwatandka risasi.East Afrika kantri haina ma rais ina viongozi wenye akili kama za vibwengo.
Ila atatangazwa kuwa ameshinda.Huyu mzee hawezi kushinda
Lissu kwa kura alishinda hata wewe unajua hilo.Hata kwa Lisu mlisema hivyohivyo! Tuwaachie wananchi waamue wenyewe
Hawa vibwengo wamejitoa ufahamu kabisaMatokeo yaliyojulikana wiki nzima kabla ya uchaguzi yawezaje kuthibisha ushindi wa haki ? hata kama mnalipwa kuweni na aibu basi jamani !
Mpumbavu mwenyeweAcha lugha zako za kitoto ati tulimuonya, wewe kama nani?
Umenikumbusha sredi zako za kipuuzi ulipokuwa unampigia debe Mpumbavu Tundu Lissu wakati wa kampeni.
Acha kuota mwisho wa mwaka
Kama ccm..Huyo dikiteeta keshachokwa na wananchi wa Uganda
Imeandikwa na wakala wa kibeberuHuyu mzee tulimuonya tangu mapema sana kwamba miaka aliyoingoza Uganda inatosha , mwaka ujao asigombee tena , kwa bahati mbaya sana akapuuza...
Mkuu hapa kuna utofauti mkubwa wa maamuzi kati ya waganda na waswahili wa Dodoma.Kama ccm..
Lkn lazima atashinda kwa wizi
Nakumbuka sana lkn moto unaweza kuwa mkubwa kuliko kwetu sisi waswahili wa kilwaSi alikuja kufuata MBUNU hapa au umesahau boss?
Kama wewe uko kwenye tume yao hapo sawaHuyu mzee hawezi kushinda
Nakumbuka sana lkn moto unaweza kuwa mkubwa kuliko kwetu sisi waswahili wa kilwa