Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ina maana hujajifunza lolote kwenye uchaguzi wa Tanzania?Huyu mzee hawezi kushinda
Kuna watu mna moyo sana., Hawa ni partners in a crime.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana hujajifunza lolote kwenye uchaguzi wa Tanzania?Huyu mzee hawezi kushinda
Kota pini inatoka kwa tindo tu.
Ingekuwa mshindi anapatikana kupitia sanduku la kura, maono yako yangekuwa sahihi.. Lkn sasa watawala wa Uganda hawana tofauti na madikteta wengine wa Afrika. Kura ni geresha tuu.Huyu mzee tulimuonya tangu mapema sana kwamba miaka aliyoingoza Uganda inatosha , mwaka ujao asigombee tena , kwa bahati mbaya sana akapuuza.
Akaanza Juhudi za kishetani za kupunguza miaka yake kwa kushrikiana na Maaskofu njaa , eti umri wake ulikosewa ! baadaye akaamua kuondoa vifungu vya katiba vilivyomtaka mtu aliyefikisha umri wa miaka 75 kutogombea Urais wa auganda ili agombee hadi atakapokuwa na mkongojo .
Lakini sasa hali imembadilikia , Waganda hawataki hata kumsikia , achilia mbali kumuona , Mzee ushawishi wake umepukutika mithili ya majani ya mti uliokauka, hawezi kushinda Urais labda apore kama wanavyofanya madikteta wengine wa kiafrika .
Poor Museveni
Karibu sana mkuuEti tulimshauri.......siasa bhana......
kutangazwa siyo kushindaIna maana hujajifunza lolote kwenye uchaguzi wa Tanzania?
Kuna watu mna moyo sana., Hawa ni partners in a crime.
Matusi na Uchawi ndio njia pekee aliyobaki nayo masikini ya kujiliwazaAcha lugha zako za kitoto ati tulimuonya, wewe kama nani?
Umenikumbusha sredi zako za kipuuzi ulipokuwa unampigia debe Mpumbavu Tundu Lissu wakati wa kampeni.
Asante mkuu......kwema lakini......??Karibu sana mkuu
Kama Jiwe ni Rais wewe unaona kuwa Rais kunahitaji kitu gani cha ziada?Japo M7 hana jipya tena ila waganda bado hawana mgombea anayeweza kuwavusha,binafsi siamini kama Bob wine anaweza......japo anaumaarufu nchini humo na ndiyo kinachompa kiburi M7
Kila mtu na mtazamo wake usilazimishe kila mtu akubali na mawazo yako,ila Bob wine hatoshi kwenye hiyo postKama Jiwe ni Rais wewe unaona kuwa Rais kunahitaji kitu gani cha ziada?
Hata Diamond anaweza kuwa Rais mzuri tu wa nchi siyo wa Wasafi tu.
kama hajakuelewa hapa basi anapaswa kuombewa .Kama Jiwe ni Rais wewe unaona kuwa Rais kunahitaji kitu gani cha ziada?
Hata Diamond anaweza kuwa Rais mzuri tu wa nchi siyo wa Wasafi tu.
hivi wakati Dikteta Museveni anachukua madaraka ya Uganda miaka ya 80 ulikuwa na umri gani ?Kila mtu na mtazamo wake usilazimishe kila mtu akubali na mawazo yako,ila Bob wine hatoshi kwenye hiyo post
Nilikuwa kama wewe........tunahitaji mabadiliko ila Bob wine hatoshi......siyo lazima ukubaliane na mm....unaweza kubaki na mawazo yako tuhivi wakati Dikteta Museveni anachukua madaraka ya Uganda miaka ya 80 ulikuwa na umri gani ?
hata siku moja sijawahi kukubaliana na wasiojuaNilikuwa kama wewe........tunahitaji mabadiliko ila Bob wine hatoshi......siyo lazima ukubaliane na mm....unaweza kubaki na mawazo yako tu
Nilikuwa kama wewe........tunahitaji mabadiliko ila Bob wine hatoshi......siyo lazima ukubaliane na mm....unaweza kubaki na mawazo yako tuhivi wakati Dikteta Museveni anachukua madaraka ya Uganda miaka ya 80 ulikuwa na umri gani ?
Kwamba wewe unajua kila kitu,au?hata siku moja sijawahi kukubaliana na wasiojua